Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elizabeth ni mke wa mtu na watoto kama sikosei watatu.Elizabeth Mramba ni jimbo lililo wazi na namfahamu sana tangu akiwa O-level na A-level pale Arusha Meru.
Ni jimbo lililo wazi ila ni Mchunaji na Mtumiaji wa pesa haswaa, hats Marehemu Swalha wa Saidi anaiga.
Pia anavyotangaza ni tofauti na ukimkuta ktk mazingira ya uraiani...ana mapozi sana...anajiita MKABESA...Mwanamke Pesa / Mbesa
Huyo Neema simfahamu kabisa.
Hao ukiwa na laki unaenda kula vilivyofichwa!Hawa threesome nao bei gani?
Huyo Mkabesa ni jimbo lilochukuliwa kitambo sana,ni mke wa pot mmoja amechafuka mabegani hivi.
Elizabeth Mramba ni jimbo lililo wazi na namfahamu sana tangu akiwa O-level na A-level pale Arusha Meru.
Ni jimbo lililo wazi ila ni Mchunaji na Mtumiaji wa pesa haswaa, hats Marehemu Swalha wa Saidi anaiga.
Pia anavyotangaza ni tofauti na ukimkuta ktk mazingira ya uraiani...ana mapozi sana...anajiita MKABESA...Mwanamke Pesa / Mbesa
Huyo Neema simfahamu kabisa.
Sio dem ni mama aliyeenda leba mara nneHuyu dem namuonaga insta na tupicha twake simuelewagi na pozi zake kama sio mke wa mtu
🙌🙌🙌🙌Huyo Mkabesa ni jimbo lilochukuliwa kitambo sana,ni mke wa pot mmoja amechafuka mabegani hivi.
Ndio.Kasoma Arusha Meru?
[emoji23]Aache kuchuna watu hela zao lah sivyo nae chuma zitalia siyo muda mrefu watu wamevurugwa!
Elizabeth Mramba ni jimbo lililo wazi na namfahamu sana tangu akiwa O-level na A-level pale Arusha Meru.
Ni jimbo lililo wazi ila ni Mchunaji na Mtumiaji wa pesa haswaa, hats Marehemu Swalha wa Saidi anaiga.
Pia anavyotangaza ni tofauti na ukimkuta ktk mazingira ya uraiani...ana mapozi sana...anajiita MKABESA...Mwanamke Pesa / Mbesa
Huyo Neema simfahamu kabisa.
Mavazi tu ndio yanatupagawishaIla kwakweli wanaume tunashikwa akili sana na nguo za wanawake, sasa huyo mbona ni mwanamke wa kawaida sana, sema vi vazi vyake ndio vinaleta tamaa tu, pengine ukiwa naye karibu ukajuta .....
Danganya watu waingie king wafumuliwe marinda
Mkabesh ni mke wa mtu(mme wake ndo mmiliki wa jengo la tanzanite park hapo mwenge hilo ghorofa ana mawe na anatembea na bastora nilishatoleana nae bastora alikuwa anammendea dem wangu)
Ingia cha kike uone kitakachokukuta
Hamna kitu hapo weupe ume wastiri tu angalia lips zao utagundua kuwa wote wana vikapu.View attachment 2256791nimeenda kuwatoa huko Facebook
[emoji1787]Hawa threesome nao bei gani?