Hivi hawa "warembo wa TBC" Eliza na mwenzako Neema, ni majimbo yaliyo huru?

Elizabeth ni mke wa mtu na watoto kama sikosei watatu.
 
Ila kwakweli wanaume tunashikwa akili sana na nguo za wanawake, sasa huyo mbona ni mwanamke wa kawaida sana, sema vi vazi vyake ndio vinaleta tamaa tu, pengine ukiwa naye karibu ukajuta .....
 
Hawa threesome nao bei gani?
Hao ukiwa na laki unaenda kula vilivyofichwa!

Out of topic;hivi mkuu unaposema threesome ni ke watatu na me au ni ke wawili na me anakuwa included?
 
Sema hao jamaa wenye vitengo kunako kabinet wanakula pisi za maana hapa town.
Huyo Mkabesa ni jimbo lilochukuliwa kitambo sana,ni mke wa pot mmoja amechafuka mabegani hivi.
 
Huyu dem namuonaga insta na tupicha twake simuelewagi na pozi zake kama sio mke wa mtu
 
Jidanganye na ana watoto wanne.
Mtakuja kulambwa shaba
 

Danganya watu waingie king wafumuliwe marinda
Mkabesh ni mke wa mtu(mme wake ndo mmiliki wa jengo la tanzanite park hapo mwenge hilo ghorofa ana mawe na anatembea na bastora nilishatoleana nae bastora alikuwa anammendea dem wangu)
Ingia cha kike uone kitakachokukuta
 
Ila kwakweli wanaume tunashikwa akili sana na nguo za wanawake, sasa huyo mbona ni mwanamke wa kawaida sana, sema vi vazi vyake ndio vinaleta tamaa tu, pengine ukiwa naye karibu ukajuta .....
Mavazi tu ndio yanatupagawisha
Mwanamke ameshazaa Γ—3 akikuvulia unaweza kukimbia πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 

Kwahiyo na wewe mkuu mlitaka kuuawana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…