Hivi hawa wasanii na watu maarufu hapa bongo huwa hawapati Ngoma?

Hivi hawa wasanii na watu maarufu hapa bongo huwa hawapati Ngoma?

Nimekuwa nikijiuliza sana hili jambo hasa pale napoona wanavyochalazana mkuyenge na jinsi wanawake wanavyotembeza papuchi,mfano gigy money alipohojiwa alisema hakumbuki kapigwa mkuyenge na wanaume wangapi mpka sasa na umalaya kauanza akiwa mdgo lakini juzi kati hapa kajifungua mtoto,mpka najiuliza huyo njemba mwenye roho ngumu alotembea nae kavukavu alikuwa anajiamini nin??

Au wasanii hawa wana assuarance ya kutopata ngoma??? Ukija kwa bwana mondi anavyoutembeza mara kwa hamisa mara zari mara huyu alafu na wengine mimba juu inamaana hapo ndomu huwa haihusiki kabisa....!

Au watakuwa wanajuana wao kwa wao ??? Ama huwa wanapima kabsa kabla ya kupelekeana mkuyenge??

Maana hali ilivyo kwa sasa na skendo zao mara leo katoka na huyu kesho na huyu na wengine mimba kbsa inaonesha kabisa kutumia ndom kwao ni nadra sana.

Asa najiuliza au hawa wasanii wana assuarance ya kutopata ngoma kwa kuwa ni celebrity???

Ama la wengi wao wanaishi nao wanatembezeana wao kwa wao???


Mkuu umetumia utaratibu gani kuja na hitimisho hili?
Au unatoa changamoto kwa wasanii kioo cha jamii wajitangaze ili kuzidi kutoa somo kuwa upo na kupunguza unyanyapaa??.
Kwa ukimwi hakuna kundi, taasisi ,kabila au ukoo ambao haujaguswa kwa namna moja au nyingine.
 
Ngoma hawapati, ila upungufu wa damu ndio tatizo lao kubwa, jiulize vizuri upungufu wa damu chanzo chake nini?
 
Back
Top Bottom