Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,409
- 13,262
Wanakubali kuswagwa kama kondoo. Hawawezi kusimama kudai haki zao hata wakiibiwa, wakidhulumiwa, wakitukanwa, wakidharaulika, wakitumiwa, wakidanganywa, wakiumizwa na kuuliwa.
Wao huwa na tabia ya kulalamika chini chini na kumwachia Mungu mateso yao. Watawala hufurahia hali hiyo kwakuwa hutawala bila hofu kwa kisingizio kuwa wanawatetea wanyonge kumbe wanawamaliza.
Msemakweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uwongo ndugu zangu?
Wao huwa na tabia ya kulalamika chini chini na kumwachia Mungu mateso yao. Watawala hufurahia hali hiyo kwakuwa hutawala bila hofu kwa kisingizio kuwa wanawatetea wanyonge kumbe wanawamaliza.
Msemakweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uwongo ndugu zangu?