Sifa:-Inaonekana neno 'wanyonge' limeshika kasi katika matumizi yake hapa Tanzania, na kutumiwa sana na baadhi ya wakuu kabisa wa nchi. Kwa mujibu wa baadhi ya machapisho, 'wanyonge' maana yake ni 'masikini sana', au 'watu wadhaifu katika jamii'. Kwa Kiingereza ni 'disadvantaged', 'abject poor', au 'weaker people.'
Sasa tangu tupate uhuru CCM wapo madarakani, iweje mpaka leo baadhi ya viongozi wao wakuu waliopewa dhamana bado wanalalamika juu ya uwepo wa wanyonge mpaka kufikia kusema wao ni viongozi wa wanyonge?
Kwa nini wanyonge hawajaisha?
Nani anasababisha uwepo wa wanyonge?
Na kusema kuwa mimi kama kiongozi mkuu nitatetea haki za wanyonge, je nani atatetea haki za wasiokuwa wanyonge? Nani anayetoa haki kwa wananchi? Au wasiokuwa wanyonge upata haki ndani ya sekunde?
Dharau ya Viongozi Nchi hii Umasikini umeletwa na CCM na Majina yanatolewa na Hao Hao VIONGOZIInaonekana neno 'wanyonge' limeshika kasi katika matumizi yake hapa Tanzania, na kutumiwa sana na baadhi ya wakuu kabisa wa nchi. Kwa mujibu wa baadhi ya machapisho, 'wanyonge' maana yake ni 'masikini sana', au 'watu wadhaifu katika jamii'. Kwa Kiingereza ni 'disadvantaged', 'abject poor', au 'weaker people.'
Sasa tangu tupate uhuru CCM wapo madarakani, iweje mpaka leo baadhi ya viongozi wao wakuu waliopewa dhamana bado wanalalamika juu ya uwepo wa wanyonge mpaka kufikia kusema wao ni viongozi wa wanyonge?
Kwa nini wanyonge hawajaisha?
Nani anasababisha uwepo wa wanyonge?
Na kusema kuwa mimi kama kiongozi mkuu nitatetea haki za wanyonge, je nani atatetea haki za wasiokuwa wanyonge? Nani anayetoa haki kwa wananchi? Au wasiokuwa wanyonge upata haki ndani ya sekunde?
Sifa yakuwa Mnyonge ni kuwa MJINGAInaonekana neno 'wanyonge' limeshika kasi katika matumizi yake hapa Tanzania, na kutumiwa sana na baadhi ya wakuu kabisa wa nchi. Kwa mujibu wa baadhi ya machapisho, 'wanyonge' maana yake ni 'masikini sana', au 'watu wadhaifu katika jamii'. Kwa Kiingereza ni 'disadvantaged', 'abject poor', au 'weaker people.'
Sasa tangu tupate uhuru CCM wapo madarakani, iweje mpaka leo baadhi ya viongozi wao wakuu waliopewa dhamana bado wanalalamika juu ya uwepo wa wanyonge mpaka kufikia kusema wao ni viongozi wa wanyonge?
Kwa nini wanyonge hawajaisha?
Nani anasababisha uwepo wa wanyonge?
Na kusema kuwa mimi kama kiongozi mkuu nitatetea haki za wanyonge, je nani atatetea haki za wasiokuwa wanyonge? Nani anayetoa haki kwa wananchi? Au wasiokuwa wanyonge upata haki ndani ya sekunde?
Tatizo tumebatizwa jina la WANYONGE na kwa kiasi kikubwa tumelikubali, kwa kuwa tumewaachia watu wachache ndiyo wawe wenye kufikiri kwa ajili yetu. Tanzania ni ya watanzania wote si ya CCM wala Chadema wala ACT wala chama chochote si ya waislamu wala wakristo wala imani yoyote, wala si ya kabila lolote. Hili neno tulikatae kwani kuna kiongozi alishawaita watu wapumbavu, haya ni maneno ya dharau na kejeli kutoka kwa viongozi.Kiukweli ni neno dhalilishi kwa wananchi na inashangaza linavyotumiwa Kama silaha ya viongozi kujificha huku wakiwahadaa kwa vitambulisho vya machinga. Huwezi kutaqala watu wako na kwa miaka mingi na ukawaita watu wako majina ya hovyo ni dharau kubwa.