Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna wa kumzalia yeye kama yeye yule nguruwe ukiona hivyo ni pesa na mwaliz watafokoa nje mimba zao, uvumilivu pesa, wanampokea na kumsitiri kisa pesa. Atapanic sana mtoto wa mijikenda na anjuani.Watu sisi tuna angalau kidogo sio kwamba sisi ni matajiri lakini vidogo vidogo vya kusukuma maisha mbele na kusaidia wapendwa na watoto wazuri hatuwezi kosa.
Lakini mapenzi yanatusumbuwa kinoma yaani.
Mpaka kuna mda nafikiria labda Haji anatumia kizizi yule sio bure maana namuona anakaa saana kiuganga
Kweli mimi wakuzungushwa na watoto wa Tandale kwa tumbo
Pambana utafute pesa hakika nakuambia huo msongo wa mawazo utaondoka wenyewe pamoja na hizo chukiNi wapenda pesa, anatoa sana pesa , binti haji kwa kumpenda , bali pesa na wanakuwa na asili ya umalaya malaya! (sorry for the nasty comment)
Yaani unamtusi mtu na kukashifu uumbaji wa Mungu kisa eti yupo yanga?Hakuna wa kumzalia yeye kama yeye yule nguruwe ukiona hivyo ni pesa na mwaliz watafokoa nje mimba zao, uvumilivu pesa, wanampokea na kumsitiri kisa pesa. Atapanic sana mtoto wa mijikenda na anjuani.
Chukia upanic na ulipuke kwa mkurupuko.
haji anatumia pess kuwapata wanawake ambao hawana pesa.Watu sisi tuna angalau kidogo sio kwamba sisi ni matajiri lakini vidogo vidogo vya kusukuma maisha mbele na kusaidia wapendwa na watoto wazuri hatuwezi kosa.
Lakini mapenzi yanatusumbuwa kinoma yaani.
Mpaka kuna mda nafikiria labda Haji anatumia kizizi yule sio bure maana namuona anakaa saana kiuganga
Kweli mimi wakuzungushwa na watoto wa Tandale kwa tumbo
Hii sio formula kwa sasa, muulize masanja.Tafuta hela
Hujaelewa swali la mleta Uzi,ungeelewa usingetolea mfano mfu wa MasanjaHii sio formula kwa sasa, muulize masanja.
WE UNATAFUTA PESA, WENZIO WANA 🍆 MKE. NA KOPI WANA ACHA..