Hivi hawa watu wako wapi?Njoo tujuzane wako wapi

Hivi hawa watu wako wapi?Njoo tujuzane wako wapi

GBWA-20181008211633.jpeg
 
Kwa ile division 0 sidhani hata kama alifika degree[emoji3]
Na kama yuko wizarani basi ni mbeba pochi ya ndarichako
Kumbe unamkumbuka jamaa[emoji12] ,jamaa nilikutana nae mahara ,siku hizi kawa kibosile Fulani, ana gari yake nzuri sana, kashaoa na mtoto mmoja, ana bonge la nyumba maeneo ya kimara nyingine iko maeneo ya bunju.


Jamaa maisha fresh isee, nikagundua kufel mtihani sio kufel maisha.


Yupo shirika la kimataifa linaloshughulikia idadi ya watu.
 
Kumbe unamkumbuka jamaa[emoji12] ,jamaa nilikutana nae mahara ,siku hizi kawa kibosile Fulani, ana gari yake nzuri sana, kashaoa na mtoto mmoja, ana bonge la nyumba maeneo ya kimara nyingine iko maeneo ya bunju.


Jamaa maisha fresh isee, nikagundua kufel mtihani sio kufel maisha.


Yupo shirika la kimataifa linaloshughulikia idadi ya watu.
Mkuu umeamua kuchanganya madesa[emoji23]
 
Wale mamonitor na viranja vipi mambo huko wizara ya mambo ya ndani?

Wale wapiga ngoma za wimbo wa Taifa/usafi/mchakamchaka na kuingia darasani,vipi mnatoa album ya ngapi kwenye band zenu?
Nalog off
 
Wale wa kwenye debate education is better than money nadhan mwixho wa mwez 2taonexhana salary slip
 
Kumbe unamkumbuka jamaa[emoji12] ,jamaa nilikutana nae mahara ,siku hizi kawa kibosile Fulani, ana gari yake nzuri sana, kashaoa na mtoto mmoja, ana bonge la nyumba maeneo ya kimara nyingine iko maeneo ya bunju.


Jamaa maisha fresh isee, nikagundua kufel mtihani sio kufel maisha.


Yupo shirika la kimataifa linaloshughulikia idadi ya watu.
[emoji1][emoji41]
 
Back
Top Bottom