View attachment 21350
Hapa ndiyo kijijini kwetu nilipompelekea Babu Laptop ili naye niweze kuchat naye kwenye facebook na JF, badala ya kumtumia barua kwa njia ya posta inayochukua mwezi mmoja kumfikia!
View attachment 21350
Hapa ndiyo kijijini kwetu nilipompelekea Babu Laptop ili naye niweze kuchat naye kwenye facebook na JF, badala ya kumtumia barua kwa njia ya posta inayochukua mwezi mmoja kumfikia!
Mbona babu yako inaonekana ni kama nae anaishangaa na hajui afanye nayo nini?Kwa jamii kama hii kuwapelekea kitu kama hiki ni kuwaonea maana hawaelewi,bora hata tv wawe wanashangaa
Kwa maisha hayo hiyo PC ikiisha charge wanachajia wapi?