View attachment 21350
Hapa ndiyo kijijini kwetu nilipompelekea Babu Laptop ili naye niweze kuchat naye kwenye facebook na JF, badala ya kumtumia barua kwa njia ya posta inayochukua mwezi mmoja kumfikia!
Hapa ndiyo kijijini kwetu nilipompelekea Babu Laptop ili naye niweze kuchat naye kwenye facebook na JF, badala ya kumtumia barua kwa njia ya posta inayochukua mwezi mmoja kumfikia!