Hivi haya mabango "jiunge freemason na mganga wa jadi kutoka mkoq wa "yanabandikwa saa ngapi.

Hivi haya mabango "jiunge freemason na mganga wa jadi kutoka mkoq wa "yanabandikwa saa ngapi.

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Habari za siku nyingi wadau..na poleni kwa yanayoendelea hapa nchini.

Nilikuwa nauliza haya mabango ya "jiunge fremason au mganga wa jadi kutoka labda tanga tunayokutana nanyo kwenye baadhibya nguzo za umeme au kuta za nyumba pembezoni mwa badabara hivi ni watu wa kawaida wanabandika au ni wahusika wenyewe.

Sijawahi ona au shughudia maana unakuta tuu tayari bango limewekwa.
Je huwa wanabandika saa ngapi
 
Habari za siku nyingi wadau..na poleni kwa yanayoendelea hapa nchini.

Nilikuwa nauliza haya mabango ya "jiunge fremason au mganga wa jadi kutoka labda tanga tunayokutana nanyo kwenye baadhibya nguzo za umeme au kuta za nyumba pembezoni mwa badabara hivi ni watu wa kawaida wanabandika au ni wahusika wenyewe.

Sijawahi ona au shughudia maana unakuta tuu tayari bango limewekwa.
Je huwa wanabandika saa ngapi
Huwa wanabandika usiku.Niliwahi kuwafuma maeneo ya Fire kuelekea Muhimbili
 
Habari za siku nyingi wadau..na poleni kwa yanayoendelea hapa nchini.

Nilikuwa nauliza haya mabango ya "jiunge fremason au mganga wa jadi kutoka labda tanga tunayokutana nanyo kwenye baadhibya nguzo za umeme au kuta za nyumba pembezoni mwa badabara hivi ni watu wa kawaida wanabandika au ni wahusika wenyewe.

Sijawahi ona au shughudia maana unakuta tuu tayari bango limewekwa.
Je huwa wanabandika saa ngapi
Mkakati wa rulers
 
Habari za siku nyingi wadau..na poleni kwa yanayoendelea hapa nchini.

Nilikuwa nauliza haya mabango ya "jiunge fremason au mganga wa jadi kutoka labda tanga tunayokutana nanyo kwenye baadhibya nguzo za umeme au kuta za nyumba pembezoni mwa badabara hivi ni watu wa kawaida wanabandika au ni wahusika wenyewe.

Sijawahi ona au shughudia maana unakuta tuu tayari bango limewekwa.
Je huwa wanabandika saa ngapi
Usiku
 
Hizo project huwa ni za usiku mnene kama huu.
 
Back
Top Bottom