MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Aisee mkuu, na wewe umelicheza hili ?Juzi kuna madogo wa shule ya msingi niliwaona nalo, wamekaa kwenye kikundi wanalicheza...
Kipindi nikiwa secondary nikiwa hom sina mishe najifungia ndani nalipiga kimya kimya...
Isije ikawa mdogo wako bbade maana alikuwa analileta shuleni mchana kutwa hasomi anabinya binya tu...pye pye pye pye.Aisee mkuu, na wewe umelicheza hili ?
Mimi nilikuwa nagombana sana na dogo, hata kula hali, kusoma hataki yeye analicheza tu.
Duh!!itakuwa ulikuwa mdogo sana aiser
Wewe nawe umelicheza ?niligombana sana na kaka angu kuhusu hilo dude
ndio mkuuWewe nawe umelicheza ?
Haha..ouh basi itakuwa siye.Hahaha, shuleni nilipiga marufuku asiende nalo kabisa.
Basi ni halali kugombana na kaka yako.ndio mkuu
ππ tulikuwa tunagombania mpk kupigana kbsBasi ni halali kugombana na kaka yako.
Betri zikiisha kanahamia kwenye rimoti ya tv na deki halafu kanazibadilisha. Mnarudi mnakuta hazifanyi kazi vizuri, yani vurugu tu.Haha..ouh basi itakuwa siye.
Yanalevya saana.
Mimi alikuwa ananiudhi hataki kabisa kusoma na kufanya mambo mengine.ππ tulikuwa tunagombania mpk kupigana kbs
yanafanya mtu unakuwa addictedMimi alikuwa ananiudhi hataki kabisa kusoma na kufanya mengine.