HIVI HAYA MADUDE BADO YAPO ??

HIVI HAYA MADUDE BADO YAPO ??

View attachment 1061349

View attachment 1061349

Aisee hili dude nakumbuka mdogo wangu wa kike alikuwaga nalo na muda wote alikuwa analicheza muda wote yani. Lilikuwa linanikera na makelele yake, unakuta umelala usiku au unatafuta usingizi unasikia chumba cha pili, byu, byu, pyu. Kuna mhuni akapita nalo akaenda kuuza kwe wenzake huko shuleni, nilifurahi sana.

Siku zote game huteka sana akili...... bila kujali ni game la namna gani........ lilinisumbua sana hili dude hadi kuacha na kuhamia kwe magame ya computer..... kifupi ni kwamba usimzoeshe mtoto wako haya madude.... yanapoteza sana muda.
 
Hili game ni hatariii enzi izo tunapeana zamu so unakuta mtu anacheza anafika adi level za mbali nyie mnaishia kuwa wapenzi watazamaji.(kwa familia yetu mdgo wa mwisho ndio alikuwa analo)
 
View attachment 1061349

View attachment 1061349

Aisee hili dude nakumbuka mdogo wangu wa kike alikuwaga nalo na muda wote alikuwa analicheza muda wote yani. Lilikuwa linanikera na makelele yake, unakuta umelala usiku au unatafuta usingizi unasikia chumba cha pili, byu, byu, pyu. Kuna mhuni akapita nalo akaenda kuuza kwe wenzake huko shuleni, nilifurahi sana.
Haya yakiwatawala watoto wako matokeo yake wanakuwa kama mazezeta.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi kuna madogo wa shule ya msingi niliwaona nalo, wamekaa kwenye kikundi wanalicheza...

Kipindi nikiwa secondary nikiwa hom sina mishe najifungia ndani nalipiga kimya kimya...
Secondary [emoji16][emoji16]ulchelewa mkuu..ilo la primary, seco unanaza na gameboy,gameboy advance na sp,unasogea sega pale by unaanza advance unajua atleast ps 2,sikuhizi ps 4

Sent using Brain
 
Mimi bado ni muhanga wa hili game nalicheza sana hadi leo, nikiwa free tu ofisin nalicheza hili nimelipakua kwenya simu !!
 
nimelicheza sana kuna mchezo flani wa kulipua ukifika level flani linakuja kubwa lao hahahahah mimi ndo nilikuwa mtaalamu wa kuliuwa kota nzima

wakicheza wakifika hapo wananitafuta niliue

bado yapo hata majuzi nililiona sehemu
 
Back
Top Bottom