Hivi haya maduka ya dawa pembeni ya hospitali yanayotesa wagonjwa ni ya nani?

Hivi haya maduka ya dawa pembeni ya hospitali yanayotesa wagonjwa ni ya nani?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Nakumbuka J.P.Magufuli alipiga marufuku haya maduka naona yanazidi kuongezeka anyway sio mbaya.

Mbaya ni malalamiko yanayoendelea hosptitali Dk anaandika dawa anakwambia nenda pharmacy. Unaenda wanakupa dawa mbili, 4 anakwambia nenda nje kuna duka linaitwa xxx pharmacy utazipata hapo

Swali ni iweje yale maduka yanapatikana dawa halafu hospt wakose??

Je haya maduka ni ya nani kifupi tusaidie wananchii yanatesa sana wananchi

Sio wote wana uwezo wa kulipa pale pharamcy
 
Nauchukia uandishi wako! Kuna ulazima uandike
NAKUMBUKA
HON J.P.MAGUFULI ALIPIGA MARUFUKU HAYA MADUKA

NAONA YANAZIDI KUONGEZEKA ANYWAY SIO MBAYA

MBAYA N MALALAMIKO YANAYOENDELEA HOSPT..DK ANAANDIKA DAWA ANAKWAMBIA NENDA PHARMACY

UNAENDA WANAKUPA DAWA MBILI..4 ANAKWAMBIA NENDA NJE KUNA DUKA LINAITWA XXX PHARMACY UTAZIPATA HAPO

SWALI N IWEJE YALE MADUKA YANAPATIKANA DAWA ALAFU HOSPT WAKOSE??

JE HAYA MADUKA N YA NANI KIFUPI TUSAIDIE WANANCHII YANATESA SANA WANANCHI

SIO WOTE WANA UWEZO WA KULIPA PALE PHARAMCY
Kwa herufi kubwa?
 
Nakumbuka J.P.Magufuli alipiga marufuku haya maduka naona yanazidi kuongezeka anyway sio mbaya.

Mbaya ni malalamiko yanayoendelea hosptitali Dk anaandika dawa anakwambia nenda pharmacy. Unaenda wanakupa dawa mbili, 4 anakwambia nenda nje kuna duka linaitwa xxx pharmacy utazipata hapo

Swali ni iweje yale maduka yanapatikana dawa halafu hospt wakose??

Je haya maduka ni ya nani kifupi tusaidie wananchii yanatesa sana wananchi

Sio wote wana uwezo wa kulipa pale pharamcy
Unapiga marufuku maduka ya dawa na huku hospitali haina dawa? Achaneni na akili za kimaskini. Watu wanaweka biashara sehemu palipo wateja. Halafu unahoji eti iwaje hospitali wakose dawa na duka liwe nazo. Kwani hujui kuwa hospitali ili iwe na dawa lazima ikanunue hivyo hivyo na walio na maduka wananunua? Sasa kama hospitali imeshindwa kwenda kununua dawa kwanini utupie lawama kwa wasio husika?
Ukikuta hospitali haina dawa mtafute mkurugenzi wa hospitali, mkuu wako wa wilaya, mkuu wa mkoa, waziri, raisi n.k maana hao ndio wanachukua kodi yako ili wakupatie huduma. Acha kusonga watu walioamua kutumia maarifa na uwezo wao kuona fursa na kuzitumia.
 
Nauchukia uandishi wako! Kuna ulazima uandike
Kwa herufi kubwa?
Bonyeza I'd Yangu
Angalia chini KUNA kipengele kimeandikwa ignore bonyeza kile
Infact nimeshakusaidia usione tena
 
Unapiga marufuku maduka ya dawa na huku hospitali haina dawa? Achaneni na akili za kimaskini. Watu wanaweka biashara sehemu palipo wateja. Halafu unahoji eti iwaje hospitali wakose dawa na duka liwe nazo. Kwani hujui kuwa hospitali ili iwe na dawa lazima ikanunue hivyo hivyo na walio na maduka wananunua? Sasa kama hospitali imeshindwa kwenda kununua dawa kwanini utupie lawama kwa wasio husika?
Ukikuta hospitali haina dawa mtafute mkurugenzi wa hospitali, mkuu wako wa wilaya, mkuu wa mkoa, waziri, raisi n.k maana hao ndio wanachukua kodi yako ili wakupatie huduma. Acha kusonga watu walioamua kutumia maarifa na uwezo wao kuona fursa na kuzitumia.
Mkuu sijakataa
Shida yanguu n kwani hizi dawa zipatikane tyu pharmacy?sijui umenielewa

Na dawa unazoambiwa nenda kwa YYY PHARMACY Ni zile ghali zenye gharama sasa kwann wasitusaidie kupunguza gharama wananchi waendelee kuishii

Na hazijawahi kukosekana lakn
Pharmacy zipoooo

KUNA kamati ilianzishwa kuchunguxa hii baadhi ya wamiliki n ma dk n wengineo.....

Kwa hio unapoenda kwa dk anakwambia NENDA PHARMACY ya Hosp kule unarushwa
YYY PHARMACY

Unaambiwa nenda YYY PHARMACY utazikuta huyu pharmacia amejuaje zipoo YYY hizii??
 
Unapiga marufuku maduka ya dawa na huku hospitali haina dawa? Achaneni na akili za kimaskini. Watu wanaweka biashara sehemu palipo wateja. Halafu unahoji eti iwaje hospitali wakose dawa na duka liwe nazo. Kwani hujui kuwa hospitali ili iwe na dawa lazima ikanunue hivyo hivyo na walio na maduka wananunua? Sasa kama hospitali imeshindwa kwenda kununua dawa kwanini utupie lawama kwa wasio husika?
Ukikuta hospitali haina dawa mtafute mkurugenzi wa hospitali, mkuu wako wa wilaya, mkuu wa mkoa, waziri, raisi n.k maana hao ndio wanachukua kodi yako ili wakupatie huduma. Acha kusonga watu walioamua kutumia maarifa na uwezo wao kuona fursa na kuzitumia.
Umenifilisi nilichokuwa nataka nimshauri huyo mjinga. Hosp Haina dawa badala waihoji serikali kwanini vituo vya kutolea huduma za afya hazina dawa wao wanakimbilia kumlaumu aliyechukua fursa ya kuuza dawa. Wakati mwingine hata washukuru waliosogeza maduka karibu maana hata kama yangewekwa kilomita kumi kutoka ilipo hospital as long as ameagizwa akanunue dawa Kwa sababu ya upungu wa dawa hospital ingebidi aongezee pia na pesa ya usafi kufuata hayo maduka 10kms
 
Umenifilisi nilichokuwa nataka nimshauri huyo mjinga. Hosp Haina dawa badala waihoji serikali kwanini vituo vya kutolea huduma za afya hazina dawa wao wanakimbilia kumlaumu aliyechukua fursa ya kuuza dawa. Wakati mwingine hata washukuru waliosogeza maduka karibu maana hata kama yangewekwa kilomita kumi kutoka ilipo hospital as long as ameagizwa akanunue dawa Kwa sababu ya upungu wa dawa hospital ingebidi aongezee pia na pesa ya usafi kufuata hayo maduka 10kms
Wasamehe ndugu ni akili za kimaskini na wivu uliopitiliza, anataka wenye pharmacy wakakodi frem coco beach ndio ataona raha
 
Back
Top Bottom