Hivi haya mahusioano ya kimapenzi ya wana jf ni ya kweli au mzaha ?

Hivi haya mahusioano ya kimapenzi ya wana jf ni ya kweli au mzaha ?

Kama yangu na yako

In this life there are two things either you adapt if not you have choosen to perish... think
 
Acha kupaniki bwana mkubwaa, unafikiri wa humu JF ni very special kuliko huko unakoishi??

Wengine usalama humu, wanakunyegesha ole wako ujipeleke PM
Sijapaniki bro ! Sema humu naona sanaa lukuki ndio maana nikataka kujua kama ni kweli au mzaha.

Wa humu ndio hao hao wa mtaani,sasa wa humu kidogo huwa wananipa maswali kadha wa kadha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom