Hivi haya makato wanayo fanya NMB ni sawa kweli.? Nimetuma picha

Hivi haya makato wanayo fanya NMB ni sawa kweli.? Nimetuma picha

Job sanga

Member
Joined
Apr 3, 2019
Posts
61
Reaction score
74
NMB wanafanya makato ya ajabu sana tena wanafanya mara mbili mbili. Kwa transaction moja. Nilienda kurepoti tatizo hili wakaniambia niandike barua watarudisha lakin hawakurudisha na ndio kwanza naona wanaendelea kufanya makato transaction moja mara tatu.

Na sasaivi nimeona wameongeza kitu chengine kinaitwa mkononi inactive fee nacho wamekata hela na Kodi jui sasa sijui ndo nn sijui ndio kwasababu situi NMB mkononi au kitu Gani ila wamelamba hela. Em wadau fatilieni account zenu za NMB naona tunaibiwa.

Kuanzia sasa sitoweka hela tena zikiingia natoa zote kwa maramoja au nitaamisha benki ingine labda mpk nisikie wamerekebisha.

IMG-20230406-WA0000.jpg
 
Mimi mweyew mwezi wa 5 waliniibia nikawaka kisawa sawa meneja akanipa kias kama nilichikatwa wapuzi sana
 
Nilijua labda nimimi nakosea hesabu zangu aiseee
 
Mie hawakunirudishia nikahama benki kwani lazima!!! Pamoja na kuandika barua!
 
Back
Top Bottom