Hivi haya mashindano ya Ndondo Cup ni ya kuibua Vipaji au yanaibua Wahuni wa muda mrefu waliotukuka?

Ndio maana ikaitwa ndondo cup wee wa wapi mkulu
 
Macho yako yameona vitu sana kwa wakati mmoja.... Nimewahi kuhudhulia michuano hii na wala sijawahi kukutana na mambo uliyoyaorodhesha katika bandiko lako Mkuu....
 
Hivi hao sailor ni watu gn? Msiharibu fani za watu,, nyie ni wahuni mavi, mnajiita sailor,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…