Hivi haya mashindano ya Ndondo Cup ni ya kuibua Vipaji au yanaibua Wahuni wa muda mrefu waliotukuka?

Hivi haya mashindano ya Ndondo Cup ni ya kuibua Vipaji au yanaibua Wahuni wa muda mrefu waliotukuka?

Maadili yazingatiwe bwana ktk Ndondo cup ili hata huko waendako nidham iwepo..leo usishangae baadhi yaWacheji wanaenda kumpiga referee hizo ni dalili zote za upungufu wakinidham.binafc napngna na wale ealionitngulia kwa thread zao
 
Nikisikia kuhusu ndondo cup, namkumbuka bwana makonda alivyokuwa closer na clouds media wakati huo.

Kweli maisha yanabadilika, na sisi yatupasa kuwa tayar kwa mabadiliko muda wowote.
 
in short ww huendag mpirani hayo ndo unayo yafuatagaaa kuangaliaaaa wanayofanyaa maselaaa sasa ww kama umefataa mpiraa kwann usiangaliee mpiraa tenaa kwanziaa leo ntaanza kwendsa kumbe kuna watu wanaonyeshana mikuyenge aiseeee asante saana katikaa vitu napendaa kuona ni mikuyengee.......sasa kama ww hupendi usiendeee mimi nime confirm from today nitaendaa kwa ajili ya hayo uliyo yataja ilaa ww muongo khaaa!mtu anajambaa unamsikia wakat mpiraa unaendeleaaa we kiboko ,tuliaa kwako fuaa boxer na socks huo muda unaoendaa uwanjani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Jerryyyy
 
Nayachukia mashindano haya na ndo kila muda yanasemwa, clouds fm kwenye kipindi chao wameyapa kipaumbele wanaudhi
 
Mi napenda kasingeli flan wanaimba
"Nikienda ulaya sirudi bongoooo,
Bongo bahati mbayaaaa"
 
Hao masela ni wa uswahili mzee 'nazi ugoko', 'chai bangi', 'gongo utumbo',
Washkaji zake MBWIGA MBWIGUKE mkwala wa nyani kibwaya
 
Ndondo cup haitasimama hata ikipingwa na dunia nzima
 
in short ww huendag mpirani hayo ndo unayo yafuatagaaa kuangaliaaaa wanayofanyaa maselaaa sasa ww kama umefataa mpiraa kwann usiangaliee mpiraa tenaa kwanziaa leo ntaanza kwendsa kumbe kuna watu wanaonyeshana mikuyenge aiseeee asante saana katikaa vitu napendaa kuona ni mikuyengee.......sasa kama ww hupendi usiendeee mimi nime confirm from today nitaendaa kwa ajili ya hayo uliyo yataja ilaa ww muongo khaaa!mtu anajambaa unamsikia wakat mpiraa unaendeleaaa we kiboko ,tuliaa kwako fuaa boxer na socks huo muda unaoendaa uwanjani

Nawe ni mwanaume au kwakuwa unajinsia ya kiume
 
Back
Top Bottom