Hivi Haya ni halali kwa Diamond?

Hivi Haya ni halali kwa Diamond?

Watu mliomzunguka diamond mnampotosha sana..hivi unajua kukandia hospitali za mbeya au kukandia simu kama techo kunaathiri vipi biashara za watu..!!! Waulizeni watu wa marketing watawasaidia..

Yeye na demu wake wote akili hawana yaani wanshindwa kujua kuwa wenye tecno na huawei ndio kundi la watu wanaomshangilia mumewe akienda kwenye matamasha,matokeo yake anaropoka kama ngonjwa wa akili.kisa ana kasimu ka milioni,ngoja watu wawaonyeshe kuwa wamevurugwa na majivuno yao.
 
DIAMOND ANA MAKOSA 3 MAKUBWA ALIYOTUTENDEA WATANZANIA:
1.Kosa la kwanza ni KUWA NA BIDII KWENYE MUZIKI WAKE...Hili ni kosa kubwa sana kwa Watanzania..Hakupaswa kuwa na bidii hivi..Angekuwa tu wa KAWAIDA kama wenzake waliopita ili AFULIE awaachie na wengine waje kwenye chati arudi Tandale kuuza Wali..
2.Kosa la 2 ni KUJITAMBUA YEYE NI NANI..Kwanini ajitambue wakati wenzie wenye majina walishindwa??Kwani yeye nani awe tofauti??Hii ni DHARAU KUBWA sana kwa Watanzania na Wanamuziki wenzie na inaonyesha ana KIBURI..Diamond kujua yeye ni Mwanamuziki mahiri na kutumia VALUE yake aliyoipata kwa mbinde kuiletea sifa Tanzania nje ya Mipaka ni KOSA KUBWA!
3.Kosa lake la 3 ni KUUHESHIMU MNO MUZIKI UNAOMPA HELA...Kwanini asiwe kama wakina Mr nanihii tu,kwani wao hawakuhit kama yeye?Mbona waliishi kawaida tu na kuuchukulia muziki poa hadi walipofulia na leo hata wakiingia Masai Club nobody cares..Kwani kufulia kitu gani?Diamond hakupaswa kuuheshimu Muziki kama kazi..Angefanya bora liende tu aimbe imbe yaishe..Sasa kujifanya Anatoa Collabo mara Davido mara Mafikizolo mara Trey Songs na K'Cee na Yemi Alade AMETUMWA NA NANI??Huku ni kutafuta sifa tu alipaswa awe mdogo milele awaachie na wenzie..
Kwa makosa haya ma3 WATANZANIA wameamua kumuadhibu..Diamond Anaringa...Ana dharau sana..Anaupenda sana Muziki uliompa JINA..HESHIMA..PESA..na ametafutiwa REPLACEMENT kwa sababu tu ANAHESHIMU MUZIKI KAMA KAZI na sio JUST SINGING FOR FAME...Watanzania tumeamua kuadhibu MTU ANAYEHESHIMU KAZI YAKE iliyomtoa from Zero to Hero na tutamshusha kwa lazima taji apewe mwingine..Watanzania tunataka Diamond awe another Mr Nice ili tupate kitu cha KUCOMPARE...Shida yetu kuu wala sio dharau ila ni KWANINI DAI HASHUKI????
Hardwork Pays!
Respect Pays!
Knowing Your Value Pays!
Kama alimpandisha MUNGU...Hakuna wa kumtoa pale...
Read more at Seth De Jesus Giovanni bikira_wa_kisukuma Instagram photos | Websta (Webstagram)

Mbona simchukii jide,au prof jay kwani hawa nao wamefuria au nao hawajielewi???.

Kufanikiwa kusikufanye uwe na vijidharau ambavyo havina maana.vikauri vidogo vidogo kama hivyo huwa vinavunja ndoa pia.unaweza chukulia poa kumbe watu wamepokea tofauti sana.
 
Last edited by a moderator:
Ndo ushangae sasa.!!! USHAMBA huo umetokea mjini...

We have a long way to go.

CCM itatawala DAIMA.
 
Mlivyokazania hilo la mbeya khaa inaonyesha wazi hamna sababu ya msingi ndio maana nmabak na hlo hilo....me naungana na mtoa mada hakukua na sababu mashabik.wa kiba kumzome diamond ni ulimbukeni wa ajabu...ila what goes around comes bak so hyo kiba wenu ajiandae as long as nae yupo kwenye nchi iliyojaa watu wanafiki,wenye wivu kupindukia wasio penda maendeleo na vigeugeu mi yangu macho mbona

Hili kumbe ni dogo eeh!,kiba na yeye akileta ufala tupa kule kwan ni nani na yeye,unatupa burudani tunafurahi,tunakushangilia unapata bichwa unaleta za kuleta tunakuzogoa.that is it.

Na mwenzio akijua kawashika watu hawapindui kwake.akatinga kikamanda full jujikoki alichokikuta hatasahau naona.

Ajifunze kuwa wabongo sio wakuwachukulia poa kiivyo.
 
Alisema Mbeya hakuna hotel yenye hadhi yake kulala. Hivi kweli hata Hill View haimfai kwa accomodation pale Mbeya? Au ndo yale kwamba lazima iwe na lift?

Aliyeandika uzi huu inaelekea ni kati ya management team ya Domo, ambao wameshindwa kumwongoza ipasavyo. Anachosahau Domo ni kuwa anaowadharau leo ndiyo hao hao waliomuibua kutoka tandale, na umaskini wao. Umaarufu wa mwanamuziki unatokana na support wapenda muziki, maskini na matajiri.
Anapoiponda Mbeya, kwa mfano, anataka kutuaminisha kuwa yeye ni bora kuliko mawaziri wanaoenda huko na kulala kwenye hizo hotel anazoona yy kuwa hazimfai? Management team yake imeshindwa kazi. Yatampata yaliyompata Muumini Mwinjuma, muda si mrefu.
 
Alisema Mbeya hakuna hotel yenye hadhi yake kulala. Hivi kweli hata Hill View haimfai kwa accomodation pale Mbeya? Au ndo yale kwamba lazima iwe na lift?

Huyo domo asijishaue mbele za watu bana alaah! Kwani mbona alikua analala guest ya buku8 pale sinza kumekucha inaitwa (elizabet lodge) walipokua wanakaa machangudoa wa ambianc, tena na yeye ndomo alikua anaishi pale guest na dem mmoja wa ki'tanga anaitwa tuti na huyo tuti ndio aliemtoa ndomo kimziki na ile nyimbo yake ya MBAGALA aliitungia pale pale ELIZABET LODGE haya leo iweje aseme mbeya amna hotel ya adhi yake? Tena alikua mtu wa kukaa ndani dem wake anaenda kuuza mwili akirud domo ndo anamfungulia mlango alafu asubuhi anapewa hela ya kula buku5. Kama kuna mtu anabisha naomba aende pale ELIZABET akaulize story za domo ataambiwa A2Z. ELIZABET LODGE ipo mtaa wa LION HOTEL
 
Hivi kuzomewa kwa wasanii kumeanza kuuma baada ya Diamond kuzomewa eee? Mbona kina GK na wengine wengi walikuwa wanazomewa na Muziki unaendelea kama kawaida. Tena kuna watu wanasema eti Kiba alikodi watu wamzomee Diamond, hii hainiingii akilini. Tukubali tu kuwa upepo haukua kwa Diamond kwa siku hiyo. Bado naamini Daimond ni msanii mzuri ila kuzomewa kwake isiwe gumzo la kuona yeye ndiye anayehitaji Shangwe kila siku na wengine ndio wanahaki ya kuzomewa. Hapa kulingana na hizi thread zinazotililika kama mvua inaonesha kua watu walipenda kuona Kiba anazomewa ndipo wafurahi lakini imekua tofauti.

Big up, mkuu umeelezea vizuri na umeelewekaaaaaaaa!!
 
Kuzomewa kwake Diamond sijashangaa coz hata wakina Lil wyne wanazomewa na hata kufikia hatua ya kupigwa na chupa tena kwenye nchi za watu, Je kuhusu kusema kwamba amesema Mbeya hakuna hotel ya yenye hadhi yake alisema lini?na je hiyo cku alivyokuja Mbeya alirudi cku hiyo hiyo dar? na je wakati alivyokuja Clinton alilala bongo na kwa nin hakulala hapa na alivyorud mara ya pili watu hawakumzomea? na kwa nin kama wabongo hatupendi kudharauliwa hatuonyeshi kwa wanasiasa wetu (andrew chenge = vijisenti, balali amekufa bila ushahidi) hatuwazomei majukwaani, au ni unafiki wetu wabongo kwa kutopenda masikini mwenzako afanikiwe?
Watanzania Tujarib kujifunza uthamani wa mtu akiwa hai isije tokea kama ya marehem Kanumba kumuona anathamani alipokufa watu wakijaa kwenye msiba wakati alipokuwa hai wakumsapot kwenye kazi zake ni wachache huku kumsema vibaya ni wengi eg. alipoemteuliwa kwenye ufunguzi wa mashindano ya Big brother.
 
Aliyeandika uzi huu inaelekea ni kati ya management team ya Domo, ambao wameshindwa kumwongoza ipasavyo. Anachosahau Domo ni kuwa anaowadharau leo ndiyo hao hao waliomuibua kutoka tandale, na umaskini wao. Umaarufu wa mwanamuziki unatokana na support wapenda muziki, maskini na matajiri.
Anapoiponda Mbeya, kwa mfano, anataka kutuaminisha kuwa yeye ni bora kuliko mawaziri wanaoenda huko na kulala kwenye hizo hotel anazoona yy kuwa hazimfai? Management team yake imeshindwa kazi. Yatampata yaliyompata Muumini Mwinjuma, muda si mrefu.

Ahajaaaa my Godliness i hv never even met diamond for private talk,nilichokisema hapo ni swala zima la namana runavyoshabikia wasanii kama wanasiasa,
Swala la yeye kuhusuhwa na shutuma hayo ni maisha yake binafs ambayo kwanza hayana ukweli wwte
 
Yeye na demu wake wote akili hawana yaani wanshindwa kujua kuwa wenye tecno na huawei ndio kundi la watu wanaomshangilia mumewe akienda kwenye matamasha,matokeo yake anaropoka kama ngonjwa wa akili.kisa ana kasimu ka milioni,ngoja watu wawaonyeshe kuwa wamevurugwa na majivuno yao.
Sijui kwa nini hao wapambe wake wnashidwa kuliona hilo..
 
Ahajaaaa my Godliness i hv never even met diamond for private talk,nilichokisema hapo ni swala zima la namana runavyoshabikia wasanii kama wanasiasa,
Swala la yeye kuhusuhwa na shutuma hayo ni maisha yake binafs ambayo kwanza hayana ukweli wwte
Mkuu embu msome mshkaji hujamwewa kabisa
 
Sijui kwa nini hao wapambe wake wnashidwa kuliona hilo..

Kwa wenzetu ni watu wanaajiriwa special kwa taaluma hiyo,sasa bongo unajaza washkaji wa kitaa.matokeo yake ni kujibu vijembe na watusi ya watu kwa kwenda mbele.hamna mshauri wala muonyaji.
 
Kuzomewa kwake Diamond sijashangaa coz hata wakina Lil wyne wanazomewa na hata kufikia hatua ya kupigwa na chupa tena kwenye nchi za watu, Je kuhusu kusema kwamba amesema Mbeya hakuna hotel ya yenye hadhi yake alisema lini?na je hiyo cku alivyokuja Mbeya alirudi cku hiyo hiyo dar? na je wakati alivyokuja Clinton alilala bongo na kwa nin hakulala hapa na alivyorud mara ya pili watu hawakumzomea? na kwa nin kama wabongo hatupendi kudharauliwa hatuonyeshi kwa wanasiasa wetu (andrew chenge = vijisenti, balali amekufa bila ushahidi) hatuwazomei majukwaani, au ni unafiki wetu wabongo kwa kutopenda masikini mwenzako afanikiwe?
Watanzania Tujarib kujifunza uthamani wa mtu akiwa hai isije tokea kama ya marehem Kanumba kumuona anathamani alipokufa watu wakijaa kwenye msiba wakati alipokuwa hai wakumsapot kwenye kazi zake ni wachache huku kumsema vibaya ni wengi eg. alipoemteuliwa kwenye ufunguzi wa mashindano ya Big brother.
Akina chenge na sita kuna hadhara wakienda wanazomewa..kanumba hakuna mtu alishawahi kumzomea au kumdharau akiwa hai..kwani i hamtaki kuface ukweli..!?
 

word !unafiki dhambi mbaya sana ! Huwa inarudi kinyumenyume waacheni vijana wote wafanye kazi hivi hamuoni wenzetu ? Mbona nigeria wanamuziki wengi wako juu na wanakubalika kimataifa kwa nini sisi hata huyu aliyeanza tunampiga vita vya kipuuzi ??watakaofuatia ndio mtawapenda ???
Nyie watu mbona mnamatatizo sana..mwanamziki atakuaje juu bila kuheshimu mashabiki..?!!!
 
Akina chenge na sita kuna hadhara wakienda wanazomewa..kanumba hakuna mtu alishawahi kumzomea au kumdharau akiwa hai..kwani i hamtaki kuface ukweli..!?

Mbonaa nimekiri kuzomewa kupo wala cjashangaa mm point yangu ni kwamba tusiwazomee/ kuwasema vibaya vijana wa kitanzania anayejikwamua kiuchumi kwa sanaa anayofanya iwe diamond, kiba, hasheem na wengine wengi ila kwa wale wanaokwenda kinyume na maadili na kula hela za walipa kodi.
Kuhusu Kudharauliwa/kusemwa vibaya kwa marehem Kanumba nenda kagoogle akiwa anahojiwa baada ya kutoka big brother alivyokuwa analalamikia watanzania huku machoz yakitaka kumtoka kwa kumchafua jina lake badala ya kumpa support
 
Back
Top Bottom