Hivi haya ni mambo ya kawaida au ni matatizo.

Hivi haya ni mambo ya kawaida au ni matatizo.

Morgan james

Member
Joined
May 21, 2012
Posts
28
Reaction score
1
Yani huwezi amini nina bro wangu yani nanii yake ikiwa haijasimama inakuwa kama ya mtoto wa miaka 7but akienda mnara bonge la dude na anaona aibu hata kuvua nguo mbele ya masela zake na hata mbele ya demu wake naomben ushauri wakumsaidia huyu mtu.
 
Wewe mtata tena hueleweki. Kama wakati wa mambo ipo shwari tatizo lipo wapi? kitu kuwa kubwa wakati haina matumizi kwa wakati huo faida yake nini? Hivi nawe unakuwepo anaposhindwa kumvulia demu wake? Usilete UZI wa kijuha siku nyingine humu, tupo bussy kutoa ushauri kwa watu makini. Pu........fu.
 
Yani huwezi amini nina bro wangu yani nanii yake ikiwa haijasimama inakuwa kama ya mtoto wa miaka 7but akienda mnara bonge la dude na anaona aibu hata kuvua nguo mbele ya masela zake na hata mbele ya demu wake naomben ushauri wakumsaidia huyu mtu.

baada ya kusoma maelezo yako, mbona sioni kama kuna tatizo...unahitaji msaada gani?
 
Ulijuwaje hayo yote? Na pia ulijuwaje kuwa wakati wa mambo inakuwa shwari, huwa unamchungulia wakati wa tukio? By the way, alikwambia anaomba msaada wowote au ushauri?
 
ah we huna undugu na natalia kweli?mbona kama sikuelewi thread zako!
 
watu wana matatizo lakini hawasemi ukweli, sasa msaada utapataje? mtoa mada una matatizo wala usimsingizie kakako bwana
 
Back
Top Bottom