Hivi haya yalishawahi kukukuta?

Hivi haya yalishawahi kukukuta?

Sharobaro la jf

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2020
Posts
237
Reaction score
325
Wakuu, huyu msichana anaonyesha kila dalili kuwa hanipendi lakini nikimwambia tuachane kama vipi hatakii. Nikisema nimsemehe anaendelea na tabia zake zilezile nikisema nimpotezee ananitafuta huku analalamika.

Nitumie mbinu ipi kumuacha?
 
.
IMG_20200430_181533.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unampa hela ndo maana hataki kukupotezea, acha kumpa hela.
 
Huyo demu haujamuacha tu

NB ,nipe namba zake ili nimuambie asikusumbue tena
 
Back
Top Bottom