Katika sheria za kodi, kampuni inaweza kupata msamaha wa kodi kama imeshiriki katika kutoa misaada kwa jamii. Msamaha unategemeana sana na aina ya msahada uliotolewa kwani kuna baadhi ya misahada haikupi unafuu katika kodi. Mfano uwezi kupata msamaha wa kodi kwa kutoa msahada kwenye vyama vya siasa kwa elimu zaidi soma katiba ya kodi ya Tanzania.
Pia kampuni inaweza kupata msamaha kama inatoa msahada kwa wafanyakazi wake bila upendeleo kama afya, chakula, nauli nk.