okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,641
Ni zaidi ya miaka 10 tangu nimeanza kumfahamu huyu mzee, amekuwa akitoa millions to billions of shs kuisaidia jamii na hajafulia, hivi hela anayotoa kama misaada ni hela yake ya mfukoni au ni kodi ambayo angetakiwa alipe...anaitoa kama msaada ili apate (tax exemption) kutoka kwa serikali?
nawasilisha
nawasilisha