covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Hivi uwezo wa mtu kufanya "argument" na kutoa "facts" anazaliwa nao au anaupata katika mazingira yanayomzunguka?
Mkuu upo sawa uwezo wa mtu kufanya 'argument' na kutoa 'facts' mtu uzaliwa nao na pia uupata kutokana na mazingira husika sababu zifuatazo ni baadhi tu zinazothibitisha hilo..
1.uwezo huo upo kwenye DNA za mtu alizorithi kutoka kwa wazazi wake yaani mtu uchukua dna nusu kutoka kwa mama na nusu kutoka upande wa baba hivyo uwezo wa mtu kutoa argument unasababisha na asili ya wazazi wao..
2.pia uwezo wa mtu kutoa argument unatokana na mazingira aliyolelewa toka umri wa miaka 0-12 mfano kam ulikuwa ukiambiwa ww unaakili sana bac hata ukiwa mtu mzima akili yako itakuambia hivyo hivyo kwa unaakili sana..
3.Pia mazingira uliyopitia na unayopitia tangu miaka 13 hadi sasa hapa inajumuisha matatizo,changamoto,elimu yaani mambo yote unayopitia ndio yanayokuwezesha kutoa argument na facts...
Mkuu nimejibu kwa ufupi coz natumia simu but naic utakuwa umepata mwanga kidogo..!!