Hivi hii imekaa sawa kweli makamanda?

Hivi hii imekaa sawa kweli makamanda?

Asubuhi chai na muhogo wa kuchemsha sio mbaya na samaki wa kukaanga au viazi vitamu uji wa ulezi uliochanganywa na mchele mahindi na maziwa fresh...Usiku wali nazi na mboga za majani au maharage ya nazi sio mbaya mkuu

NYONGEZA: na juice ya tende iliochanganywa na mayai ya kienyeji, karanga mbichi, na maziwa fresh hiyo ndio itakuwa juice ya kunywa kutwa mara mbili asubuhi na jioni unakunywa grass moja mkuu BLACK MARXIST:

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!!!! Kwa bachelor kama mimi hayo siyawezi
 
Back
Top Bottom