Kwa mfano nimepata kazi taasisi au kampuni fulani na nimesaini mkataba wa zaidi ya mwaka...ikatokea hapo katikati nimepata kazi nyingine ambayo kwangu ina maslahi zaidi..kisheria utaratibu wa kuacha kazi ya kwanza ukoje?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums