Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
- Thread starter
- #21
Anza kuliashida sana
nimechoka mim sion chakuandika ata
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anza kuliashida sana
nimechoka mim sion chakuandika ata
nasema kwasababu binamu zangu wote pia nimewasave majina yao 😃😂😂Wewe basi huna kabisa kwann? Usimsave hivyo Bi mkubwa wako?
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Juzi nilikuwa nimekaa na mdogo wangu huyu dogo ni binamu yangu. Ni dogo ambae tumesaidiana sana toka wadogo na nimemlea pia maana yeye ni 2003 uko na mzidi sana.
Issue iko hivi dogo ana niheshimu sana sina shida na heshima yake kwangu lakini kwenye simu yake kanisave jina langu kavu kabisa eti "Nkundwe" wakati Mimi wakubwa wangu kwangu wote, dada zangu na kaka zangu nimesave mfano Dada FaizaFoxy.
Huyu dogo nimemuona ananidhamu mbaya na ya uoga.
NB: Nimekata msaada kwake kama mabeberu.
Kwahyo ata wale binamu zako Wazee na hao hivyo hivyo? [emoji23][emoji23]nasema kwasababu binamu zangu wote pia nimewasave majina yao [emoji2][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] nini??[emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini ni mkubwa kwake sanaSi niJina lako lakini au!?
uzuri wake hawajanizidi umri kiivyo 😂😂,,,ila itabidi nibadilishe tu nisije nikaonekana sina adabu na mimi😂😂Kwahyo ata wale binamu zako Wazee na hao hivyo hivyo? [emoji23][emoji23]
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Mdogo wangu✅. Dogo❌
Hapo ningewasha MotoUna bahati kakusave jina lako
Ungekuta kakusave "Chura au senene" ungefanyaje[emoji23][emoji23][emoji23]
Badilisha bhna [emoji1787] nakuomba save ata sisy fulaniuzuri wake hawajanizidi umri kiivyo [emoji23][emoji23],,,ila itabidi nibadilishe tu nisije nikaonekana sina adabu na mimi[emoji23][emoji23]
Hapo Mimi naona hakuna shida maana nakuwa nimepunguza mlolongo mrefuMdogo wangu[emoji736]. Dogo[emoji777]
sawa nitajaribu,,,,huenda nao wangeona wangejiskia vibaya maana hadi akina mamkubwa na mauncle wote nimewasave majina yao🤦♀️🤦♀️Badilisha bhna [emoji1787] nakuomba save ata sisy fulani
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Mimi naogopa mwanangu sema tumetofautina mm ata kusave majina ya watoto wao nashindwa [emoji23][emoji23][emoji23] mkuu.sawa nitajaribu,,,,huenda nao wangeona wangejiskia vibaya maana hadi akina mamkubwa na mauncle wote nimewasave majina yao[emoji2356][emoji2356]
Dogo kwenye issue ya kuheshimiana sina shaka nae sana ata ukimtuma Hana shida mwanangu.Mimi pia mjomba wangu nimemsave jina lake la utani walilokua wanamuita rafiki zake. Lakini namuheshimu mbaya mbovu aisee.
Tunataniana sana ila namheshimu mno japo kanizidi umri kidogo tu.
Angalia kama dogo heshima ipo au anakuchukuliaje mkiwa mnaongea au ukimpa maagizo, hutakiwi kuogopwa ila kuheshimiwa.