Hivi hii issue imekaaje viongozi?

Hivi hii issue imekaaje viongozi?

Juzi nilikuwa nimekaa na mdogo wangu huyu dogo ni binamu yangu. Ni dogo ambae tumesaidiana sana toka wadogo na nimemlea pia maana yeye ni 2003 uko na mzidi sana.

Issue iko hivi dogo ana niheshimu sana sina shida na heshima yake kwangu lakini kwenye simu yake kanisave jina langu kavu kabisa eti "Nkundwe" wakati Mimi wakubwa wangu kwangu wote, dada zangu na kaka zangu nimesave mfano Dada FaizaFoxy.

Huyu dogo nimemuona ananidhamu mbaya na ya uoga.

NB: Nimekata msaada kwake kama mabeberu.

Una bahati kakusave jina lako
Ungekuta kakusave "Chura au senene" ungefanyaje😂😂😂
 
Una bahati kakusave jina lako
Ungekuta kakusave "Chura au senene" ungefanyaje[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo ningewasha Moto
Kuna Shem wangu mmoja kuna mtu alinambia kanisave bonge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu siku ananipigia kinafki shikamoo [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Mimi pia mjomba wangu nimemsave jina lake la utani walilokua wanamuita rafiki zake. Lakini namuheshimu mbaya mbovu aisee.
Tunataniana sana ila namheshimu mno japo kanizidi umri kidogo tu.

Angalia kama dogo heshima ipo au anakuchukuliaje mkiwa mnaongea au ukimpa maagizo, hutakiwi kuogopwa ila kuheshimiwa.
 
sawa nitajaribu,,,,huenda nao wangeona wangejiskia vibaya maana hadi akina mamkubwa na mauncle wote nimewasave majina yao[emoji2356][emoji2356]
Mimi naogopa mwanangu sema tumetofautina mm ata kusave majina ya watoto wao nashindwa [emoji23][emoji23][emoji23] mkuu.
Kwahyo ata mamkubwa umemsave jina lake SARA? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Mimi pia mjomba wangu nimemsave jina lake la utani walilokua wanamuita rafiki zake. Lakini namuheshimu mbaya mbovu aisee.
Tunataniana sana ila namheshimu mno japo kanizidi umri kidogo tu.

Angalia kama dogo heshima ipo au anakuchukuliaje mkiwa mnaongea au ukimpa maagizo, hutakiwi kuogopwa ila kuheshimiwa.
Dogo kwenye issue ya kuheshimiana sina shaka nae sana ata ukimtuma Hana shida mwanangu.
Issue hiyo ya kunisave mwanangu jina leupe kabisa niliona dogo anazingua

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom