Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
- Thread starter
-
- #41
nimesave tu joyce nani sijui 😂😂😂Mimi naogopa mwanangu sema tumetofautina mm ata kusave majina ya watoto wao nashindwa [emoji23][emoji23][emoji23] mkuu.
Kwahyo ata mamkubwa umemsave jina lake SARA? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Haaaaaaah haaaaaah imagine mwanae kaja kuona au yeye mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimesave tu joyce nani sijui [emoji23][emoji23][emoji23]
kwakweli naona niache hii tabia😂😂Haaaaaaah haaaaaah imagine mwanae kaja kuona au yeye mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Hacha kabisa utapostiwa Jf kama nilivyofanya Mimi [emoji23][emoji23]kwakweli naona niache hii tabia[emoji23][emoji23]
Dogo kwenye issue ya kuheshimiana sina shaka nae sana ata ukimtuma Hana shida mwanangu.
Issue hiyo ya kunisave mwanangu jina leupe kabisa niliona dogo anazingua
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Wala hazingui, ila wewe ukianza kumzingua nae atakuzingua.Dogo kwenye issue ya kuheshimiana sina shaka nae sana ata ukimtuma Hana shida mwanangu.
Issue hiyo ya kunisave mwanangu jina leupe kabisa niliona dogo anazingua
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Kama anakuheshimu hivyo ni vitu vidogo wala usijaliMwanangu ni dogo sana kwangu sana tena afu nampenda ww hapo unaona sawa?
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Faru dogo ana balaa ngoja nmpotezee huyu dogoKuna mtoto wa sister yuko form6
Nilikuta kuamsave baba yake "Faru" na mama yake "Mnoko"
Watoto wetu hao achana na hao wadogo zetu
Pamoja mkuu nimekuelewa sanaKama anakuheshimu hivyo ni vitu vidogo wala usijali
Mimi sijamwambia kitu nimekaa kimya mpaka saivi na namkaushia Tu mzeeWala hazingui, ila wewe ukianza kumzingua nae atakuzingua.
Ishu ndogo kama hiyo ukiifanya kubwa hapo nado ataanza dharau sasa.
Haaaaaaah balaa Mzee kumsave jina lake mtu mzima ni issue mwanangu au unakuta unamwita jina lakeUnanikumbusha wife wangu siku moja eti amevimba baada ya kuona kwny simu nimemsave mamake (mama mkwe wangu) jina lake halisi, aka-mind eti nikaona ufala huu duh niliishia tu kutikisa kichwa [emoji23][emoji23]
Kwangu mm sijui nitafouti hila mara nyingi nao piga nao story wadogo kwangu wananita broo, au jina lingine la heshima huwezi kukuta kanita jina langu full hvyoKwani ukiitwa Nkundwe na uliowazidi umri unatoboka?
Asante mkuu Kwa Ushauri mzuri huu kabisa naupokeaNKUNDWE, Siku zote Usitake kujua kiasi unachopendwa/kuheshimika na ndugu/watu wakaribu yako, utaumia...
Ata Mimi mkuu siwezi ata siku moja nashindwa na sijawahiHuyo dogo anakudharau,mie na utu uzima wangu huu siwezi mseve Kaka au Dada kwa jina lake