scientificall
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 457
- 328
Huyu msichana wangu wa zamani nina miaka 10 sijaonana. Amepanga kuja kunitembelea na kukaa siku 3 cha kushangaza na kinachonitia wasiwasi ni pale nilipomugusia suala la mgemgedo akanambia tena kweli nimemkumbusha akija hataki nitumie mpira maana yale mafuta ya ndomu yanamuumiza sana tumbo na inaeza chukua siku 3 anaumwa.
Nami nikamweleza tutaaminiana vipi na mda mrefu hatuonani. Akaniambia ni mimi tu wasiwasi wangu. Sasa nami nikaona isiwe shida nikamwambia akija tu salamu ya kwanza akapime na vipimo nichukue mwenyewe amekubali kwa moyo mmoja. Lakini binafsi nafsi bado inanisuta, nifanyeje ili nijihakikishie % na mgegedo siwezi acha hiyo kesho.
Je ananitega mimba au ana lake jambo?
Ushauri wenu jamani. Sitaki matusi.
Nawasilisha.
Post sent using JamiiForums mobile app
Nami nikamweleza tutaaminiana vipi na mda mrefu hatuonani. Akaniambia ni mimi tu wasiwasi wangu. Sasa nami nikaona isiwe shida nikamwambia akija tu salamu ya kwanza akapime na vipimo nichukue mwenyewe amekubali kwa moyo mmoja. Lakini binafsi nafsi bado inanisuta, nifanyeje ili nijihakikishie % na mgegedo siwezi acha hiyo kesho.
Je ananitega mimba au ana lake jambo?
Ushauri wenu jamani. Sitaki matusi.
Nawasilisha.
Post sent using JamiiForums mobile app