kubwa jinga jr
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 292
- 309
kama yeye ataki kutumia condom basi mwambie mtatumia mfuko wa rambo tu
Post sent using JamiiForums mobile app
Post sent using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa nimba tu, nashangaa wengi wanakimbilia ukimwi
Ushauri wako?single mama wa siku hizi niwa kuforce na wakikata tamaavunawasikia mimi nikipata mtoto natulia tuli sina mpango wa mume.
Angalie utaitwa baba bila we kupanga.
Ushaur wako?single mama wa siku hizi niwa kuforce na wakikata tamaavunawasikia mimi nikipata mtoto natulia tuli sina mpango wa mume.
Angalie utaitwa baba bila we kupanga.
Mkuu tulipoteza pindi mm niliondoka kijijni kwenda masomoni nlimuacha akiwa darasa la 7 aliporudi kijijini juzi ndo amepewa no angu. Nashukuru kwa ushauri wakoMkuu ilikuwaje mkapotezana alikumwaga au ulimwaga???. Hana mume??
Umekosa nini mpka ukaokote mzoga wa miaka 10 iliyopita. kuna kitu kinamkimbiza huko atokako atakuletea magonjwa kama si mikosi ailiyoikusanya kwa vidume wengine.
ukishindwa mpime mimba, ukimwi, kaswende na gonoria maana tafiti zinaonyesha hata haya magonjwa vimelea vimekuwa sugu kwa dawa
Ni kweli... Starehe ya dakika inaweza vuruga kila kitu...Trust no one... Kanunue kipimo sijui ni f5 tu
Starehe ya masaa inaweza haribu ndoto zako
Cc Smart911
Mkuu tulipoteza pindi mm niliondoka kijijni kwenda masomoni nlimuacha akiwa darasa la 7 aliporudi kijijini juzi ndo amepewa no angu. Nashukuru kwa ushauri wako
Post sent using JamiiForums mobile app
IdiotHuyu msichana wangu wa zamani nina miaka 10 sijaonana. Amepanga kuja kunitembelea na kukaa siku 3 cha kushangaza na kinachonitia wasiwasi ni pale nilipomugusia suala la mgemgedo akanambia tena kweli nimemkumbusha akija hataki nitumie mpira maana yale mafuta ya ndomu yanamuumiza sana tumbo na inaeza chukua siku 3 anaumwa.
Nami nikamweleza tutaaminiana vipi na mda mrefu hatuonani. Akaniambia ni mimi tu wasiwasi wangu. Sasa nami nikaona isiwe shida nikamwambia akija tu salamu ya kwanza akapime na vipimo nichukue mwenyewe amekubali kwa moyo mmoja. Lakini binafsi nafsi bado inanisuta, nifanyeje ili nijihakikishie % na mgegedo siwezi acha hiyo kesho.
Je ananitega mimba au ana lake jambo?
Ushauri wenu jamani. Sitaki matusi.
Nawasilisha.
Post sent using JamiiForums mobile app
Ten good years?????Huyu msichana wangu wa zamani nina miaka 10 sijaonana. Amepanga kuja kunitembelea na kukaa siku 3 cha kushangaza na kinachonitia wasiwasi ni pale nilipomugusia suala la mgemgedo akanambia tena kweli nimemkumbusha akija hataki nitumie mpira maana yale mafuta ya ndomu yanamuumiza sana tumbo na inaeza chukua siku 3 anaumwa.
Nami nikamweleza tutaaminiana vipi na mda mrefu hatuonani. Akaniambia ni mimi tu wasiwasi wangu. Sasa nami nikaona isiwe shida nikamwambia akija tu salamu ya kwanza akapime na vipimo nichukue mwenyewe amekubali kwa moyo mmoja. Lakini binafsi nafsi bado inanisuta, nifanyeje ili nijihakikishie % na mgegedo siwezi acha hiyo kesho.
Je ananitega mimba au ana lake jambo?
Ushauri wenu jamani. Sitaki matusi.
Nawasilisha.
Post sent using JamiiForums mobile app