Jeff
JF-Expert Member
- Sep 26, 2009
- 1,293
- 200
"MEN FALL IN LOVE THROUGH SEX BUT WOMEN FALL IN SEX THROUGH LOVE"
Nimefikiria nimeona nililete kwenu wadau mnipe mawazo,hivi mnalionaje hili? ni kweli huwa tunafall in love after having sex? au huwa tunafall kwa binti baada ya kumuona tu na ndio mana unamfuatilia ili uwe nawe,sex comes after kumpata au?
Hasa we Nyamayao ebu tuelezee unamaanisha nilivyoelewa?
Nimefikiria nimeona nililete kwenu wadau mnipe mawazo,hivi mnalionaje hili? ni kweli huwa tunafall in love after having sex? au huwa tunafall kwa binti baada ya kumuona tu na ndio mana unamfuatilia ili uwe nawe,sex comes after kumpata au?
Hasa we Nyamayao ebu tuelezee unamaanisha nilivyoelewa?