Hivi hii njia ya Mbeya Singida inapita wapi

Hivi hii njia ya Mbeya Singida inapita wapi

Wakati huo barabara ilikua ya vumbi ila yenye kuchongwa vizuri na kulikua na bus mbili (super service na Ally said kama sijachanganya majina ) na zilikua zinapisha siku moja moja. Tatizo (kwa wakati huo) bus ndani linajaa viroba/ vipetu vya mchele na kila kijiji linasimama (pandisha shusha kama daladala). Pia sitasahau burudani kutoka kwa ndungu zetu wa kanda ya ziwa maana walikua wanaimba nyimbo za kwao usiku ule na kutufanya tusahau karaha na kero ya safari.
zilikuwa ni bus nzuri zinaenda au ni yale maskrepa
 
Ni njia moja nzuri sana kama wewe ni adventurous na unwpenda Ku appreciate nature na hupendi usumbufu wa magari mengi barabarani. Unatoka Mbeya kuelekea Chunya kuelekea Tabora. Njia panda ya tabora unaenda kulia itigi.

You will enjoy.
 
Nataka kujua hii njia ya kushoto yenye blue kwenye Ramani kutoka Mby kwenda Sngd inapita mikoa gani pia nataka kujua route ipi ni convenient kati ya hii na ya kulia kupitia Iringa - Dodoma- Manyoni- Singida kutokea Mbeya


Singida - Mbeya route

View attachment 1457362

Mbeya - Iringa - Dodoma - Manyoni - Singida route

View attachment 1457369
Hii njia utakifika Chunya, kuna njia ya kutokea Itigi. Sema ni seasonal road, barabara haipitiki muda wote. Ni njia fupi sana kama ikitengenezwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nataka kujua hii njia ya kushoto yenye blue kwenye Ramani kutoka Mby kwenda Sngd inapita mikoa gani pia nataka kujua route ipi ni convenient kati ya hii na ya kulia kupitia Iringa - Dodoma- Manyoni- Singida kutokea Mbeya


Singida - Mbeya route

View attachment 1457362

Mbeya - Iringa - Dodoma - Manyoni - Singida route

View attachment 1457369
Kuna njia unarudi mpaka Iringa halafu unakuja kutokea dodoma then singida
 
April 28, 2020

Inapita Chunya Mpanda na barabara yenyewe ndiyo hii, msikilize DC wa wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya



Source : MbeyaYetuOnlineTV
 
Hapa ni Kilometa 83 toka Mjini Mbeya kuelekea Rukwa Mpanda Tabora Sungida
 
Daraja la Koga wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi kuelekea Tabora



Source : ITV Tanzania
 
March 15, 2020
Mlele, Katavi

UBOVU WA BARABARA YA TABORA - MBEYA ,DREVA NA KONDA WAINGIA MITINI NA KUWAACHA ABIRIA PORINI.


Source : SKGTV
 
March 21, 2020
DC Chunya asimamia ukarabati daraja mto Lupa"Mawasiliano yakatika kwa siku mbili"

 
February 4, 2020
Chunya, Mbeya

Kivuko cha muda Mto Lupa chajaa maji madereva wa malori mazito wasota wiki DC Chunya aonya watakaovunja Darajani



Source : MbeyaYetuOnlineTV
 
Nimegundua kupita huku inaweza kuwa kujikaanga
 
Back
Top Bottom