William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Nimeshitushwa sana na habari kwamba kesho Mwenyekiti wa Tume ya Rasimu ya Katiba, atapewa Dakika 60 kuzungumza bungeni kuhusiana na Rasimu ya Katiba, so I am like daamn hivi tume itaisha lini it seems like it will never end kila siku tume tume, enough!! Hii tume inataka kuvunja Muungano kwa sababu ndio hasa siri ya wale wote wanaotaka kuvunja Muungano wanalilia Serikali 3 na kura za siri, wanataka tuwe na
1. MARAIS 3, 2. MASPIKA 3, 3. MABUNGE 3, 4. MAWAZIRI WAKUU 3, 5. MAKAMU WA RAIS 3, 6. WAKUU WA MAJESHI 3,
- I mean I can go on and on, nia yao ni moja tu nayo ni kuvunja Muungano ambao wao wenyewe kwa hiari yao waliapa kuulinda kwa nguvu zao zote na akili zao zote, leo wamegeuka na kukana viapo walivyoviapa wenyewe bila kulazimishwa na mtu, halafu bado tunataka kuendelea kuwapa nafasi ya kuongea mbele ya Taifa WHY? Ni muhimu sana kukawepo na mbunge atakayeruhusiwa kumjibu as soon as akimaliza maneno yake ya kuvunja Muungano, Demokrasia inataka maneno na kujibiwa, ameongea sana bila kujibiwa sasa ni wakati muafaka kaanza kujibiwa hapo hapo na hoja zake za Serikali 3.
- I mean kama ni muhimu Mwenyekiti huyo wa Tume ambaye hataki Muungano wa Serikali 2, ampe Mwenyekiti wa Bunge ripoti yake basi aondoke zake, bunge liendelee na mambo mengine, hakuna jipya atakalolisema zaidi ya kulilia kuvunja Mjuungano, shame on tume nzima mlikuwa karibu na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa unafiki unafiki na tabia za mafisi, mlishindwa nini kumwambia Mwalimu akiwa hai kwamba hamtaki Muungano, mmesubiri ametangulia kwenye haki ndio sasa eti mnampinga na Serikali zake 2 mlizozipigania na kuzilinda maisha yenu yote ya kufanya kazi naye tena kwa karibu sana, leo hayupo mmebadilika na maneno mengi ya kilaghai ya kutaka kuvunja Muungano shame on you all!!
Le Mutuz
1. MARAIS 3, 2. MASPIKA 3, 3. MABUNGE 3, 4. MAWAZIRI WAKUU 3, 5. MAKAMU WA RAIS 3, 6. WAKUU WA MAJESHI 3,
- I mean I can go on and on, nia yao ni moja tu nayo ni kuvunja Muungano ambao wao wenyewe kwa hiari yao waliapa kuulinda kwa nguvu zao zote na akili zao zote, leo wamegeuka na kukana viapo walivyoviapa wenyewe bila kulazimishwa na mtu, halafu bado tunataka kuendelea kuwapa nafasi ya kuongea mbele ya Taifa WHY? Ni muhimu sana kukawepo na mbunge atakayeruhusiwa kumjibu as soon as akimaliza maneno yake ya kuvunja Muungano, Demokrasia inataka maneno na kujibiwa, ameongea sana bila kujibiwa sasa ni wakati muafaka kaanza kujibiwa hapo hapo na hoja zake za Serikali 3.
- I mean kama ni muhimu Mwenyekiti huyo wa Tume ambaye hataki Muungano wa Serikali 2, ampe Mwenyekiti wa Bunge ripoti yake basi aondoke zake, bunge liendelee na mambo mengine, hakuna jipya atakalolisema zaidi ya kulilia kuvunja Mjuungano, shame on tume nzima mlikuwa karibu na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa unafiki unafiki na tabia za mafisi, mlishindwa nini kumwambia Mwalimu akiwa hai kwamba hamtaki Muungano, mmesubiri ametangulia kwenye haki ndio sasa eti mnampinga na Serikali zake 2 mlizozipigania na kuzilinda maisha yenu yote ya kufanya kazi naye tena kwa karibu sana, leo hayupo mmebadilika na maneno mengi ya kilaghai ya kutaka kuvunja Muungano shame on you all!!
Le Mutuz
