Hivi hii Tume ya Rasimu ya Katiba Itaisha Lini?

Hivi hii Tume ya Rasimu ya Katiba Itaisha Lini?

Joined
Apr 27, 2006
Posts
26,584
Reaction score
10,400
- Nimeshitushwa sana na habari kwamba kesho Mwenyekiti wa Tume ya Rasimu ya Katiba, atapewa Dakika 60 kuzungumza bungeni kuhusiana na Rasimu ya Katiba, so I am like daamn hivi tume itaisha lini it seems like it will never end kila siku tume tume, enough!! Hii tume inataka kuvunja Muungano kwa sababu ndio hasa siri ya wale wote wanaotaka kuvunja Muungano wanalilia Serikali 3 na kura za siri, wanataka tuwe na

1. MARAIS 3, 2. MASPIKA 3, 3. MABUNGE 3, 4. MAWAZIRI WAKUU 3, 5. MAKAMU WA RAIS 3, 6. WAKUU WA MAJESHI 3,

- I mean I can go on and on, nia yao ni moja tu nayo ni kuvunja Muungano ambao wao wenyewe kwa hiari yao waliapa kuulinda kwa nguvu zao zote na akili zao zote, leo wamegeuka na kukana viapo walivyoviapa wenyewe bila kulazimishwa na mtu, halafu bado tunataka kuendelea kuwapa nafasi ya kuongea mbele ya Taifa WHY? Ni muhimu sana kukawepo na mbunge atakayeruhusiwa kumjibu as soon as akimaliza maneno yake ya kuvunja Muungano, Demokrasia inataka maneno na kujibiwa, ameongea sana bila kujibiwa sasa ni wakati muafaka kaanza kujibiwa hapo hapo na hoja zake za Serikali 3.

- I mean kama ni muhimu Mwenyekiti huyo wa Tume ambaye hataki Muungano wa Serikali 2, ampe Mwenyekiti wa Bunge ripoti yake basi aondoke zake, bunge liendelee na mambo mengine, hakuna jipya atakalolisema zaidi ya kulilia kuvunja Mjuungano, shame on tume nzima mlikuwa karibu na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa unafiki unafiki na tabia za mafisi, mlishindwa nini kumwambia Mwalimu akiwa hai kwamba hamtaki Muungano, mmesubiri ametangulia kwenye haki ndio sasa eti mnampinga na Serikali zake 2 mlizozipigania na kuzilinda maisha yenu yote ya kufanya kazi naye tena kwa karibu sana, leo hayupo mmebadilika na maneno mengi ya kilaghai ya kutaka kuvunja Muungano shame on you all!!

Le Mutuz
 
Lakini wacha nikuulize haya unayajua kweli au umekremishwa?

Mkuu Minja...naungana nawe...huyu Mwana wa Malecela anajifanya au hajui sheria iliyoianzisha tume ya Warioba???

Kwa ufupi tu ni kuwa, kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Tume ya Jaji Warioba itamaliza muda wake, siku Mwenyekiti atakapowasilisha RASIMU YA KATIBA Bungeni.

Na wakati wa kuwasilisha, kwa mujibu wa Kanuni za bunge hili la Katiba, hakutakuwa na kuomba Mwongozo, Utaratibu, Ufafanuzi au kitu cha kufanana na hivyo kutoka kwa mjumbe YEYOTE.


Kwa kifupi, wakati wa kuwasilisha Jaji Warioba
hataulizwa au kujibiwa au kuombwa ufafanuzi na Mjumbe yeyote yule.
 
- Nimeshitushwa sana na habari kwamba kesho Mwenyekiti wa Tume ya Rasimu ya Katiba, atapewa Dakika 60 kuzungumza bungeni kuhusiana na Rasimu ya Katiba, so I am like daamn hivi tume itaisha lini it seems like it will never end kila siku tume tume, enough!! Hii tume inataka kuvunja Muungano kwa sababu ndio hasa siri ya wale wote wanaotaka kuvunja Muungano wanalilia Serikali 3 na kura za siri, wanataka tuwe na

1. MARAIS 3, 2. MASPIKA 3, 3. MABUNGE 3, 4. MAWAZIRI WAKUU 3, 5. MAKAMU WA RAIS 3, 6. WAKUU WA MAJESHI 3,

- I mean I can go on and on, nia yao ni moja tu nayo ni kuvunja Muungano ambao wao wenyewe kwa hiari yao waliapa kuulinda kwa nguvu zao zote na akili zao zote, leo wamegeuka na kukana viapo walivyoviapa wenyewe bila kulazimishwa na mtu, halafu bado tunataka kuendelea kuwapa nafasi ya kuongea mbele ya Taifa WHY? Ni muhimu sana kukawepo na mbunge atakayeruhusiwa kumjibu as soon as akimaliza maneno yake ya kuvunja Muungano, Demokrasia inataka maneno na kujibiwa, ameongea sana bila kujibiwa sasa ni wakati muafaka kaanza kujibiwa hapo hapo na hoja zake za Serikali 3.

- I mean kama ni muhimu Mwenyekiti huyo wa Tume ambaye hataki Muungano wa Serikali 2, ampe Mwenyekiti wa Bunge ripoti yake basi aondoke zake, bunge liendelee na mambo mengine, hakuna jipya atakalolisema zaidi ya kulilia kuvunja Mjuungano, shame on tume nzima mlikuwa karibu na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa unafiki unafiki na tabia za mafisi, mlishindwa nini kumwambia Mwalimu akiwa hai kwamba hamtaki Muungano, mmesubiri ametangulia kwenye haki ndio sasa eti mnampinga na Serikali zake 2 mlizozipigania na kuzilinda maisha yenu yote ya kufanya kazi naye tena kwa karibu sana, leo hayupo mmebadilika na maneno mengi ya kilaghai ya kutaka kuvunja Muungano shame on you all!!

Le Mutuz

Wewe Le Mutuz inakuuma nini? Mbona hufichi chuki zako kwa tume? Aliyeiunda anaona muda wa kuivunja haujafika, wewe unakereka nini?
 
- Nimeshitushwa sana na habari kwamba kesho Mwenyekiti wa Tume ya Rasimu ya Katiba, atapewa Dakika 60 kuzungumza bungeni kuhusiana na Rasimu ya Katiba, so I am like daamn hivi tume itaisha lini it seems like it will never end kila siku tume tume, enough!! Hii tume inataka kuvunja Muungano kwa sababu ndio hasa siri ya wale wote wanaotaka kuvunja Muungano wanalilia Serikali 3 na kura za siri, wanataka tuwe na

1. MARAIS 3, 2. MASPIKA 3, 3. MABUNGE 3, 4. MAWAZIRI WAKUU 3, 5. MAKAMU WA RAIS 3, 6. WAKUU WA MAJESHI 3,

- I mean I can go on and on, nia yao ni moja tu nayo ni kuvunja Muungano ambao wao wenyewe kwa hiari yao waliapa kuulinda kwa nguvu zao zote na akili zao zote, leo wamegeuka na kukana viapo walivyoviapa wenyewe bila kulazimishwa na mtu, halafu bado tunataka kuendelea kuwapa nafasi ya kuongea mbele ya Taifa WHY? Ni muhimu sana kukawepo na mbunge atakayeruhusiwa kumjibu as soon as akimaliza maneno yake ya kuvunja Muungano, Demokrasia inataka maneno na kujibiwa, ameongea sana bila kujibiwa sasa ni wakati muafaka kaanza kujibiwa hapo hapo na hoja zake za Serikali 3.

- I mean kama ni muhimu Mwenyekiti huyo wa Tume ambaye hataki Muungano wa Serikali 2, ampe Mwenyekiti wa Bunge ripoti yake basi aondoke zake, bunge liendelee na mambo mengine, hakuna jipya atakalolisema zaidi ya kulilia kuvunja Mjuungano, shame on tume nzima mlikuwa karibu na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa unafiki unafiki na tabia za mafisi, mlishindwa nini kumwambia Mwalimu akiwa hai kwamba hamtaki Muungano, mmesubiri ametangulia kwenye haki ndio sasa eti mnampinga na Serikali zake 2 mlizozipigania na kuzilinda maisha yenu yote ya kufanya kazi naye tena kwa karibu sana, leo hayupo mmebadilika na maneno mengi ya kilaghai ya kutaka kuvunja Muungano shame on you all!!

Le Mutuz

Nashangaa!...Kwamba tatizo ni muungano wa serikali tatu!... Kwamba tume inataka muungano uvunjike!! ......

Napenda ikumbukwe kuwa Tume ilipata uhalali wote wa kisheria kukusanya maoni ya wananchi na kuyatengenezea Rasimu ya katiba. Rasimu ambayo baada ya kupitiwa na kupata marekebisho muafaka itajadiliwa na Bunge maalum la katiba ili kupata Katiba.

Sasa tatizo ni lipi? Tume kukusanya maoni ya wananchi au Tume kuwakilisha maoni hayo? Tatizo ni nini? Kuwepo kwa tume?
Kwamba kuna watu hawakujiandaa mentally kupokea maoni tofauti na matarajio yao hilo ni tatizo la kikundi binafsi tofauti na kuwa tume kuwasilisha maoni ya wananchi hilo ni jambo la nchi.

Kama wananchi kwa uwingi wao wameamua kuwa hawataki muungano, huo ni uamuzi halali hasa kwa kuwa hii ni nchi yao. Siyo Mbunge, waziri, Rais wala Mwenyekiti yeyote anayepata mamlaka ya kukataa, hata kama hapendi. Kama wamesema serikali tatu ndiyo tunataka hiyo ndiyo yenyewe. Siyo kazi ya viongozi , ambao wengi wameonyesha kuwa wezi na wabovu, kukataa, kukubali au kubadilisha matakwa ya wananchi! But is their job kutengeneza mfumo utakaoleta utekelezaji wa matakwa ya wananchi wao. Did it ever occured to you guys kuwa you are being paid ili kuwatekelezea wananchi kile wanachokitaka?

Sasa tatizo linatoka wapi pale tume halali inapowakilisha maoni halali ya wananchi halali wa nchi hii? Kwa nini tumekuwa na mawazo mgando kuwa ili kitu kiwe sahihi ni lazima kikundi flani cha majambazi na mafisadi kikubaliane nayo?

Hebu tuanze kuona hali for what it really is. Hii kujitwisha uzee na kukumbatia sera za kidumu chama flani au zidumu fikra za flani hata kama ni za kibwege...hii ni hatari. Na hii siyo ile dunia. Hawa watu wana akili huru za kuchagua wanachotaka na kwa hiyo isiwe dhambi wao kufanya hivyo.
 
Nashangaa!...Kwamba tatizo ni muungano wa serikali tatu!... Kwamba tume inataka muungano uvunjike!! ......

Napenda ikumbukwe kuwa Tume ilipata uhalali wote wa kisheria kukusanya maoni ya wananchi na kuyatengenezea Rasimu ya katiba. Rasimu ambayo baada ya kupitiwa na kupata marekebisho muafaka itajadiliwa na Bunge maalum la katiba ili kupata Katiba.

Sasa tatizo ni lipi? Tume kukusanya maoni ya wananchi au Tume kuwakilisha maoni hayo? Tatizo ni nini? Kuwepo kwa tume?Kwamba kuna watu hawakujiandaa mentally kupokea maoni tofauti na matarajio yao hilo ni tatizo la kikundi binafsi tofauti na kuwa tume kuwasilisha maoni ya wananchi hilo ni jambo la nchi.

Sasa tatizo linatoka wapi pale tume halali inapowakilisha maoni halali ya wananchi halali wa nchi hii? Kwa nini tumekuwa na mawazo mgando kuwa ili kitu kiwe sahihi ni lazima kikundi flani cha majambazi na mafisadi kikubaliane nayo?

Hebu tuanze kuona hali for what it really is. Hii kujitwisha uzee na kukumbatia sera za kidumu chama flani au zidumu fikra za flani hata kama ni za kibwege...hii ni hatari. Na hii siyo ile dunia. Hawa watu wana akili huru za kuchagua wanachotaka na kwa hiyo isiwe dhambi wao kufanya hivyo.

- Kuna tofauti kubwa sana kwenye kukusanya maoni na kuwaamulia wananchi maoni, hii Tume imewaamulia maoni wananchi na ushahidi upo wazi nimeona mwenyewe kwa macho na masikio yangu pale Moshi, Mjumbe mmoja wa Tume hii akiwalazimisha wananchi Serikali 3, and then kuna ushahidi wa wazi mjumbe mwingine wa Tume hii akiwalazimisha wananchi Singida kuhusu Serikali 3, hii tume ni mufisilisi baada ya Moshi ndio kwa mara ya kwanza nikaanza kuidharau hii tume kuwa ni mufilisi imejaa wanafiki wakubwa na ni hatari sana kwa Taifa, and yes I saidi it ni hatari sana kwa hili taifa!!

Le Mutuz
 
Le mutuz,pole sana kwa umbumbumbu wako.Warioba alishawaambia jibuni hoja zake za serikali tatu kwa hoja,siyo kila siku mara gharama,mara marais 10 n.k bila kuijadili katiba ya zanzibar kupuuza na kuivunja katiba ya muungano na mengine mengi yanayotajwa na WARIOBA.WARIOBA hongera kwa kuuvaa utanzania na kutupilia mbali uchama,kesho kapige nondo za ukweli hadi CCM wajione aibu,Watanzania tuko nyuma yako Warioba,so usitishwe na hawa mahafidhina wa ki-CCM
 
mjomba , MAPOVU yako hayawezi kutufanya tuwadharau watanzania asilimia 64 waliopendekeza serikali 3 , hayo ya kuvunja muungano umeropoka wewe , Sisi walaaa !
 
- Kuna tofauti kubwa sana kwenye kukusanya maoni na kuwaamulia wananchi maoni, hii Tume imewaamulia maoni wananchi na ushahidi upo wazi nimeona mwenyewe kwa macho na masikio yangu pale Moshi, Mjumbe mmoja wa Tume hii akiwalazimisha wananchi Serikali 3, and then kuna ushahidi wa wazi mjumbe mwingine wa Tume hii akiwalazimisha wananchi Singida kuhusu Serikali 3, hii tume ni mufisilisi baada ya Moshi ndio kwa mara ya kwanza nikaanza kuidharau hii tume kuwa ni mufilisi imejaa wanafiki wakubwa na ni hatari sana kwa Taifa, and yes I saidi it ni hatari sana kwa hili taifa!!

Le Mutuz

Well, one thing I can say loudly is " if anything at all gets a wrong start, it ends wrong" Kimsingi naheshimu sana mawazo ya wanachi, Hasa wa kawaida ambao ndiyo wengi.

Kama Tume ililazimisha hoja ya serikali 3, au nyingine yoyote,hilo ni tatizo. Na kama kuna ushahidi huo mimi sioni ni kwa nini usitolewe hata ikiwezekana kesi ipelekwe mahakamani ili kupinga uandikwaji wa katiba yenye mawazo binafsi badala ya mawazo ya wananchi! Kwa nini waachwe mpaka leo?

Mwisho niseme kuwa mimi binafsi pamoja na wengine wengi ambao najua wanaweza kusema, tutakubaliana kuwa lawama ya msingi inapewa serikali kwa kuwanyima wananchi elimu ya msingi. Elimu ya uraia ya kuwasaidia kujitambua kuwa wao ni kina nani, haki zao ni zipi na wanatakiwa wafanye nini. Kimsingi ni ngumu kwa yeyote mwenye akili timamu kukubali kuwa alitegemea zoezi la kuandika katiba liwe na mafanikio makubwa wakati hata wengi wetu hawajui katiba ni kidudu gani!
 
Naona bado umelala!
ImageUploadedByJamiiForums1394974758.719515.jpg

Ukiamka useme!
 
- Kuna tofauti kubwa sana kwenye kukusanya maoni na kuwaamulia wananchi maoni, hii Tume imewaamulia maoni wananchi na ushahidi upo wazi nimeona mwenyewe kwa macho na masikio yangu pale Moshi, Mjumbe mmoja wa Tume hii akiwalazimisha wananchi Serikali 3, and then kuna ushahidi wa wazi mjumbe mwingine wa Tume hii akiwalazimisha wananchi Singida kuhusu Serikali 3, hii tume ni mufisilisi baada ya Moshi ndio kwa mara ya kwanza nikaanza kuidharau hii tume kuwa ni mufilisi imejaa wanafiki wakubwa na ni hatari sana kwa Taifa, and yes I saidi it ni hatari sana kwa hili taifa!!

Le Mutuz
mkuu unamuabisha mzee Malecela. by the way wapi A.Malecela alikuwa good friend tulipokuwa sec.?
 
Sina hakika kama huyu bwana huwa anashirikisha ubongo. Mambo mengi hayajui but speed kutoa analysis. Mpaka leo hujui tume inamaliza muda wake lini? Big fat baby!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Nashukuru Mungu tume haikuwa na watu kama wewe...
Ulitaka tume ichakachue maoni ya wananchi ili iweje... kama tayari maamuzi yalitakiwa kuwepo kulikuwa na haja gani ya kutumia mabilioni kuzunguka nchi nzima kutafuta maoni ya watanzania? !!!
 
- Nimeshitushwa sana na habari kwamba kesho Mwenyekiti wa Tume ya Rasimu ya Katiba, atapewa Dakika 60 kuzungumza bungeni kuhusiana na Rasimu ya Katiba, so I am like daamn hivi tume itaisha lini it seems like it will never end kila siku tume tume, enough!! Hii tume inataka kuvunja Muungano kwa sababu ndio hasa siri ya wale wote wanaotaka kuvunja Muungano wanalilia Serikali 3 na kura za siri, wanataka tuwe na

1. MARAIS 3, 2. MASPIKA 3, 3. MABUNGE 3, 4. MAWAZIRI WAKUU 3, 5. MAKAMU WA RAIS 3, 6. WAKUU WA MAJESHI 3,

- I mean I can go on and on, nia yao ni moja tu nayo ni kuvunja Muungano ambao wao wenyewe kwa hiari yao waliapa kuulinda kwa nguvu zao zote na akili zao zote, leo wamegeuka na kukana viapo walivyoviapa wenyewe bila kulazimishwa na mtu, halafu bado tunataka kuendelea kuwapa nafasi ya kuongea mbele ya Taifa WHY? Ni muhimu sana kukawepo na mbunge atakayeruhusiwa kumjibu as soon as akimaliza maneno yake ya kuvunja Muungano, Demokrasia inataka maneno na kujibiwa, ameongea sana bila kujibiwa sasa ni wakati muafaka kaanza kujibiwa hapo hapo na hoja zake za Serikali 3.

- I mean kama ni muhimu Mwenyekiti huyo wa Tume ambaye hataki Muungano wa Serikali 2, ampe Mwenyekiti wa Bunge ripoti yake basi aondoke zake, bunge liendelee na mambo mengine, hakuna jipya atakalolisema zaidi ya kulilia kuvunja Mjuungano, shame on tume nzima mlikuwa karibu na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa unafiki unafiki na tabia za mafisi, mlishindwa nini kumwambia Mwalimu akiwa hai kwamba hamtaki Muungano, mmesubiri ametangulia kwenye haki ndio sasa eti mnampinga na Serikali zake 2 mlizozipigania na kuzilinda maisha yenu yote ya kufanya kazi naye tena kwa karibu sana, leo hayupo mmebadilika na maneno mengi ya kilaghai ya kutaka kuvunja Muungano shame on you all!!

Le Mutuz

Naunga mkono hoja yako 100%.
Waende wakafie mbali wayaishi matunda ya aibu Yao yaliyoyataka kuyapandikiza kwa wananchi Watanzania.

Tumezoea kuitwa Watanzania sasa huo utanganyika wapi na wapi?
Kuna mjumbe wa hiyo Tume anaitwa Humphrey Polepole namchukia kwa uongo na umbea wa serikali 3.
Poor them.
 
Serikali tatu sio kuvunja Muungano. Ni kuvunja Muungano dhaifu sana wa serikali mbili na kuunda Muungano imara kabisa wa serikali tatu ambao kila upande unaridhika! Alafu si kweli kuwa kuna kiongozi yeyote aliyeapa kulinda Muungano wa serkali mbili. Waliapa kulinda Muungano uwe wa serikali moja au mbili au tatu. Wanaotaka serikali tatu wanataka Muungano imara dhidi ya Muungano dhaifu wa serikali mbili. Muungano ni wa muhimu hasa ule wa serikali 3.
 
- Kumbe huko upande wa pili huwa mnakremishwa mkuu? haya funguka sasa! ha! ha! ha!

Le Mutuz

Tambua Nyerere na Karume waliasisi Muungano wakiwa na Malengo ya muungano kujirekebisha kulingana na wakati hawakusema muungano usirekebishwe ujue Nyerere alijua ipo siku Wananchi watachoka na Muungano Analogia wenye Gharama kubwa Kama huu watataka Kuwa na Muungano Digtal Kama wa U.S.A Nchi 52 Hakuna Wizara ya muungano wala kero za muungano Pia hakuna bajeti za kubembeleza muungano . Nyerere alitambua iwepo wa mabaliko Ndio Maana hata mfumo wa vyama vyingi aliubariki Sasa inatupasa Tanganyika tuzinduke tuje na mfumo bora wa muungano usiokuwa wa Gharama Kama huu .
 
Back
Top Bottom