Muungano wa Tz Ndio muungano Ghari kuliko Miungano yote Duniani ebu Fikiria Zanzibar kuna Rais makamu wa kwanza na makumu wa pili na Tanganyika kuna Rais makamu wa Rais na waziri Mkuu viongozi wakuu 6 yaani Nchi Masikini yenye Watu million 1.5 visiwani na watu million 44 Tanganyika lakini Nchi kubwa inagawana nusu kwa nusu Utawala na Nchi ndogo ni Ruksa kwa mbunge wa ZNZ Kuwa waziri Tanganyika lakini mbunge wa Tanganyika hawezi Kuwa waziri ZNZ hata wabunge wa ZNZ Dodoma wanavuna posho lakini wabunge wa Tanganyika ni Marufuku kunusa baraza la wakilishi bila Ubishi Muungano huu unawanufaisha Zanzibar Ndio Maana wao wanaamua Yao kivyao lakini maamuzi ya Tanganyika ni ya Wote pesa iliyotumika kubembeleza muungano laiti ingelikuwa imejenga hospital pengine tungelikuwa na Hosptal kila kijiji .