Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anampa tako?
Guilt.. Moyo wako pengine unahisi hatia juu ya jambo fulani ulomtendea.
Cha kukimbia nini mkuu,,au alikua anakudai
Tafuta hela mzee
Hali aliyokuacha nayo inaonekana umekuwa mchovu zaidi.Unajistukia stukia
Tako linatokea wapi tena boss
smart alifumua uko ?Lol mimi ex kaniapia kabisa tukionana tu eti niandae trak.o (sorry typing error)
Kujificha ndo nini mkuu,,kutana nae muombe mkapashe kipolo afu kila mtu aishi vyakeHatudaiani! Sema tu sielewi! Bora ningejificha tu sehemu ila hadi kuingia hasara ya kununua vitu nisivovitaka! Inatia shaka
Bado unampenda sema wivu ndio umekutawala moyoniNimetoka kazini nimeshuka zangu kituoni paaap! Ghafla namuona ex wangu ambae hatujaonana takriban mwaka naaa hivi!
Asee nikapanic bila kujielewa nikaingia dukani nikaanza kununua vitu ambavyo sivihitaji ilimradi nisionane nae, nimenunua mivitu kibao ili nipoteze muda!
Kutoka kumbe ameniona ananisubiri kwa nje! Baada ya tukio zima sasa nimeanza kujiuliza kilichonisukuma hasa kufanya hivo ni nini? Uoga? Pressure? Nifanyaje sikuingine nisiingie hasara wajameni
Alafu habari zenu!
Itakuwa 4-4-2 au tacklingNimetoka kazini nimeshuka zangu kituoni paaap! Ghafla namuona ex wangu ambae hatujaonana takriban mwaka naaa hivi!
Asee nikapanic bila kujielewa nikaingia dukani nikaanza kununua vitu ambavyo sivihitaji ilimradi nisionane nae, nimenunua mivitu kibao ili nipoteze muda!
Kutoka kumbe ameniona ananisubiri kwa nje! Baada ya tukio zima sasa nimeanza kujiuliza kilichonisukuma hasa kufanya hivo ni nini? Uoga? Pressure? Nifanyaje sikuingine nisiingie hasara wajameni
Alafu habari zenu!
Tuambie kwanza mliachanaje? Inaonekana ulimfanyia jambo baya la fedhea ndio maana hutaki kuonana nae au labda ata ulishamuibia kipindi cha nyuma.Nimetoka kazini nimeshuka zangu kituoni paaap! Ghafla namuona ex wangu ambae hatujaonana takriban mwaka naaa hivi!
Asee nikapanic bila kujielewa nikaingia dukani nikaanza kununua vitu ambavyo sivihitaji ilimradi nisionane nae, nimenunua mivitu kibao ili nipoteze muda!
Kutoka kumbe ameniona ananisubiri kwa nje! Baada ya tukio zima sasa nimeanza kujiuliza kilichonisukuma hasa kufanya hivo ni nini? Uoga? Pressure? Nifanyaje sikuingine nisiingie hasara wajameni
Alafu habari zenu!