Hivi hiki kiherehere cha Polisi , Wabunge wa CCM kuzungumzia tukio la kushambuliwa Mbowe kina malengo gani?

Ungemtaja na yule mkimbizi wa ugiriki maana hata yeye anaongea balaa.
 

Hariri andiko lako. Ni kana kwamba hujatumia lugha ya kiswahili kuandika....

Lina makosa mengi sana ya kiundishi kiasi ambacho mtu anakosa ladha ya kulisoma....
 
Hapo kwenye red

Kwa hiyo unatuambia wewe ni Muoga,mnafiki,mwenye hofu,mashaka,wasiwasi ??
 
Sijakuelewa,sikuelewi,wala hueleweki unapozungumzia camera,tangu lini camera za eneo bunge zikafanya kazi?au umesahau ya lisu vs camera vs walinzi wa serekali!!!!
Huelewi nini sasa......camera au! Kwani mtu akijiwekea camera kwake anakufa.

Mbowe ni mtu wa kushindwa kujiwekea camera kwake.
 
yaani unawalaumu akina lijuakali wakati na wewe unafanya hayohayo.Hii michezo (tukio la lisu na mwamba yanatoka ndani ya chama chao).Kwanini ikitokea tu haraka mnatangazia uma kwamba serikali imehusika? kama serikali ikimtaka mbowe hachukui hata raundi
 
M
Usiite kiherehere!, Mhe. Mbowe ni mtu mkubwa sana na muhimu, ndiye KUB, na Mwenyekiti wa taifa wa Chadema.
P
Mkubwa sana na muhimu anajeruhiwa na vibaka! Utangulizi ulifanyika wa kumwondolea walinzi wa serkali. Matayarisho tosha ya kumjeruhi nyumbani kwake kwenye ulinzi. Vibaka wanabaka hadi area hiyo na Dodoma inabaki salama?
 
Ukishakuwa ccm unakuwa umeukaribisha utahaira,hivi mtu kama msukuma ni tahaira wa kiwango cha kimataifa
 
Wewe ni tahaira mwenye simu na unayejua kuandika ulichoandika ndio kinakuqualify kuwa tahaira
 
"Evil spirit" haisaidii kitu wala kunipunguzia kitu kuniita taahira. Iko hiviMbowe ni chanzo namba moja wa hili tukio lakini haimaanishi kwamba anaweza kutueleza ukweli.Hapa ataeleza kile anadhani watu kama wewe watakipokea kama kilivyo na kukishadadia.Wewe nipe uhakika kwamba mwamba kashambuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…