Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Hiyo ni expression na nimeamua kujiexpress hivo usinipangie....we ngeli bado sana
ila bado ile ya always hujaijibu fresh au kesho?
Tukiacha kujimwambafy kuonekana tunajua...I am always doing na I always do zote zipo correct sema sometimes zinaweza kuwa na implications tofauti moja ni intentionally nyingine ni ukawaida
Eg. I always forget your name -sio intentionally
I am always forgetting your name- intetional (negative way)

But in other scenarios kama I always eat/I am always eating....they're essentially the same thing
 
Je wamesoma masomo yao kwa Kiswahili kwa miaka 10 na kuendelea????
 

What are we trying to accomplish here? Isn’t this like flogging a dead horse? ...Just in case you didn’t know, fluency comes in at least three distinct forms: reading fluency, oral fluency, and written fluency. Although interrelated, these forms rarely or don’t necessarily develop in concert.

One can earn a degree, including an advanced degree, with minimal oral fluency provided the other two forms of fluency (i.e., reading fluency and written fluency, which carry more weight in academic pursuits) are highly developed!

Kiswahili chenyewe tunachoongea mitaani, mtaalamu wa lugha akikichambua, in most cases ni majanga matupu; sembuse a foreign language!
 
Ndio makosa hayo hayo kama ya ndalichako, hususani wanaoita kizungu, maana ni hapa hapa bongo watu wenye ngozi nyeupe (whites) ndo tunawaita wazungu.

Hayo majina mengine kama ung'eng'e ni sahihi maana ni misemo ya kawaida.
Hapa kwetu Bongo unaposema, fulani anaongea kizungu au king'eng'e au ung'eng'e au kimombo au ngeli maana yake huyo fulani anaongea lugha ya kiingereza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mabalozi wanapohutubiaga au wazungu wakikosea kiswahili tunaona fahari tunacheka kwa upendo kabisa kwamba wako mafunzoni, kwan kiswahili siyo lugha yao... Akikosea mswahil kiingereza n tatizo hii spirit ndani yetu na mentality ndio kitu kinatumaliza tunajikataa ktk Meng..
 
Jaribu kuficha ujinga wako. Mtu kasoma mpaka canada alafu kuunda sentensi ya kiingereza hajui?

Na bado ana PhD ya elimu na ni waziri wa elimu.

Alafu tunajiuliza kwanini elimu ni mbovu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahyo hivo viingereza vinatofautiana sarufi??



Inatakiwa uelewe, kwanza kuna aina nyingi za lugha ya kiingereza, mfano, kwa kutojua mtu unaweza kujifunza "Ebonics" ya African Americans ukadhani kwakuwa anatoka Marekani basi anajua English.

Tanzania na Anglophones zote ni London English ndiyo iliyoletwa na Wazungu mashuleni zama za ukoloni, ndiyo mababu zetu walifundishwa hiyo English ya London.

Unapojifunza English ni juu yako kujifunza English ya aina yoyote lakini yakupasa utambue ni aina gani ya English unayojifunza.


Kwa kuongezea, kuna kitu kinaitwa "Native grammar"-- london English ni English yenye "Native English grammar".
 
Mimi nimemuelewa mama sasa sijui kipi hakijaelewela pale.

Anyways.

Kila mtu ashinde mechi zake!
 




In nominal sense, kizungu ni kiingereza., ni sawa useme ku



In nominal sense "kizungu" ni kiingereza, mfano neno "tongoza" in nominal sense is seduce, lakini kwa uhalisia tongoza ni "cajole".

Au unaposema "Uroda" in nominal sense unajua maana yake??🤣
 



Sasa alilazimishwa aongee kiingereza???, kama huna uwezo wa lugha fulani kwanini ujilazimishe kuongea wakati nafasi ipo kwa wewe kuongea lugha unayoimudu!!--- was she forced to speak in English on gun point??
 
Hapa Waziri wa Elimu, Profesa Ndalichako akitoa maagizo ya kukamatwa Mhandisi Mchina.
Kwani kiingereza ndio nini mkuu?
China kuna maprofessor hawajui english,Russia,Japan n.k
Angalia kazi sio lugha
 
Kwani kiingereza ndio nini mkuu?
China kuna maprofessor hawajui english,Russia,Japan n.k
Angalia kazi sio lugha
CHINA WAMECHUKUA PHD KWA KICHINA WANAONGEA KICHINA FLUENT ,HATA HUYU MAMA HAJUI KICHINA NA TUNAELEWA ILA KUTOJUA LUGHA ULIYOCHUKULIA ELIMU COMPLEX YA JUU NI KUNA MAWILI
1.UMEFOJI ELIMU HIYO
2.HUKUTUMIA LUGHA HIYO
 
Mbona mnakitukuza kiingereza huu ni ushamba kutukuza lugha za watu.
Waarabu,wachina,wakorea hawajui kiingereza lakini wameendelea kiingereza hakitusaidii chochote hata ukiweza.

Do not make of funny someone who speak broken English,
It means they know another language.
 
University_Promo,
Ni nani aliyemlazimisha kuongea kiingereza? Huyo mkandarasi ni mtu w Asia ambako kiingereza sio lugha yao. So hakuwa na ulazima wa kuzungumza kingereza cha kilugha kama hicho. By the way PhD yake si amesoma kwa kiingereza? Anashindwaje kutema yai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…