Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

ukanda wa afrika mashariki profesa asiyejua english huyu namuona wa kwanza.
 
People should be aware that language mastery has nothing to do with the level of education one has. IMO it is more of personal interest. Furthermore the lady is scientist judging by the kind of her training language mastery comes last, its all about formula and equations.
 
Kingereza si Lugha yetu jamani,Kwa makosa hayo madogo anaeleweka tu.Kama ingekuwa anatukorogea kwenye Swahili tungempa case.
 
Tatizo lipo wapi? La msingi ni kwamba Professor kafanikiwa kufikisha ujumbe kwa matamshi yake. Kama ni uwezo wa kuzungumza Kiingereza, basi ukweli ni kwamba hata mtoto wa grade 7/darasa la 7 kule USA au UK ana English grammatical and vocabulary skills pana zaidi kuliko asilimia kubwa ya Wasomi waliobobea hapa Tanzania.
 
Mnao mshangaaa huyu mama wengi ni HKL HGL KLF na art nyingine kwa wale wanangu wa PCM PGM PCB mtu kutokuflow english sio shida kabisa na ndo tabia ya watu wanaojua mambo hata angeongea kiswahili bado angehangaika tu ila inapokuja swala na fani yake mbona mtaonyeshwa makali tu sayansi oyee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtu kutokuflow english sio shida kabisa na ndo tabia ya watu wanaojua mambo hata angeongea kiswahili bado angehangaika tu
Sasa yule Mchina ataelewa vipi hiyo milioni mia moja sitini si angeisema kiingereza au hujaifungua hiyo video
 
Language is not a measure of intelligence.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana trump anawachapa kwa kuabudu lugha yao.

Nyie wenye kujua kuongea ngeli nzuri mna nafasi gani za kulitumikia taifa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Comments za watetezi wa Ndalichako humu zinadhihirisha kuwa Waziri huyu alipata Degree za Nguo ya ndani.
 
Hizi ni sentensi mbili zenye maana moja
1.hey my fellow bagamoyo villagers you have done me good things i will not forget.
2.I feel indebted by the cooperation of bagamoyo residents

Prof tulitarajia hiyo sentensi ya pili .mpoki hiyo ya kwanza

Judging by the video you have provided seems like the madam was on her nerves and anger got the better of her. So flow of vocabulary involved more than one parts of the brain which could not work properly. Mind you when you are speaking something in a foreign language you visualize it in your native language then take it to the language you are speaking at the time. Because she was angered the panic mode was activated and hence affected her speech. I stand to be corrected.
 

Hizo interviews zake zilikuwa adhok au planned? Ukishapata majibu ya hayo utajua kuwa anything planned has deceiving tendency.
 
Nimerudia mara kumi cjaelewa huyu si kasoma mpaka PhD kwa kiingereza hiki ni kitu gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiingereza hutegemea na unaongea na nani?

Huwezi weka grammar English language,kwa mchina?

Hivi mnafikiri ukimuongelesha mchina slang atakuelewa???.

Mmekaa mmekosa hoja mmebaki kuvizia hotuba,misiba,ajali na kesi mahakamani tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…