Ugonjwa wa uchadema CCM Utakuua ,tunamvizia nani kwa maslahi gani? si tunaongelea ukilaza ,kugawa watu wanaovizia na waviziwa kumetokea wapi ?Kiingereza hutegemea na unaongea na nani?
Huwezi weka grammar English language,kwa mchina?
Hivi mnafikiri ukimuongelesha mchina slang atakuelewa???.
Mmekaa mmekosa hoja mmebaki kuvizia hotuba,misiba,ajali na kesi mahakamani tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu Kiingereza na Uprofessor vina uhusiano gani?
Professor wa Mathematics na Fluent English kuna uhusiano gani?
Almost my whole university life nimefundishwa na Ma Prof. Wengi ambao ni wa mambo ya sayansi.. wote wanaongea kiingereza cha kawaida tu.
I see no problem there.
Sent using Jamii Forums mobile app
ok nakusoma sasaAna kaka yake au mdogo wake naye haeleweki anapataje nafasi za juu juu kazini wakati ukimtathmini ufahamu na lugha ya kiingereza haeleweki.
Hawa ni watu wa Kigoma sasa sijui ni mazingaombwe au lah!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana hata kwenye kiingereza hukuona tatizo, maana shida ipo kichwani kwako pia. Hata aliyeuliza HELMET KAZI YAKE NINI anajua kazi ya helmet, hebu angalia tena video halafu utajua kwa nini kauliza.Safety bro. At site ishu kubwa ni ku minimize Accidents as possible.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna bodi za wahandisi, makandarasi, wasanifu ujenzi, tenda bodi nk. Lakini leo kila mwanasiasa akifika kwenye 'site' tayari yeye ni 'project engineer' !!!!Wakuu Kiingereza na Uprofessor vina uhusiano gani?
Professor wa Mathematics na Fluent English kuna uhusiano gani?
Almost my whole university life nimefundishwa na Ma Prof. Wengi ambao ni wa mambo ya sayansi.. wote wanaongea kiingereza cha kawaida tu.
I see no problem there.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari kwelikweli................."should be take place " nimeielewa sana
Mkuu, its mere reasoning beyond reasonable doubt ku raise claim kuwa prof. kutoongea fluent English inaeza kuwa na negative impact.
Nimejisikia aibu sana,naomba kejeli zake zote zielekezwe kwangu nitazibeba mimi kama yesu alivyowafia wanadamu nami najitoa nibebe lawama kwa ajili yake
Yawezekana simu yako mbovu, wapi nimeandika Kusini ?.Kusini ndo nini... Ukute hapo mwenyewe kiingereza hoi...kiswahili tu shida.
Kwan hapo juu umeandikaje..That is why yule waziri wenu Kalamagi alikwenda kusini mkataba wenye bei ya njugu na Barrick kule London, kama hawajui lugha wanawezaje kuisainia nchi mikataba mikubwa ?
Hata jiwe pia ana PhD etiNimerudia mara kumi cjaelewa huyu si kasoma mpaka PhD kwa kiingereza hiki ni kitu gani?
Sent using Jamii Forums mobile app