Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Usomi ni kujua kiingereza!!!... Kaazi kwelikweli
That is why yule waziri wenu Kalamagi alikwenda kusini mkataba wenye bei ya njugu na Barrick kule London, kama hawajui lugha wanawezaje kuisainia nchi mikataba mikubwa ?
 
Samahani, nilichanganya kati ya "in facts" na "actually"---- na mimi naitwa Mokaze sio Mokanze.

By the way, nitakutafuta muda ukiwadia ili unipe ushauri wa kibiashara.

Edited.
Karibu sana.
 
Mwanangu niliyemlipia ada juzi Darasa la Sita anaflow ngeli kuliko huyu bibi, nitamskilizisha leo nikirudi nyumbani.... sema sitaruhusu kejeli wala kucheka vile sio heshima kwa wakubwa zetu hivyo hiyo aibu nitaibeba mimi.
 
That is why yule waziri wenu Kalamagi alikwenda kusini mkataba wenye bei ya njugu na Barrick kule London, kama hawajui lugha wanawezaje kuisainia nchi mikataba mikubwa ?
Kusini ndo nini... Ukute hapo mwenyewe kiingereza hoi...kiswahili tu shida.
 
wewe unajua aya imenisaidia nini kwenye mihangaiko yangu

mchina anaye ambiw hajui pia ila wewe unashadadia kama vile ulikuwa unaambiwa wewe
Nenda zako mburula na wewe na Ndalichako wako. Nini kinakuleta pages za Great thinkers? Nenda kwenye udaku kule
 
Sisi pia tumekulia hapa na hatuoni kama superior language .ila mtu akichukua phd ya elimu yoyote kwa kimakonde hatutarajii awe anaongea kimakonde cha hovyo walau kwa kiwango flani ,sasa prof amesomea english kama media from form four hadi phd anasema '''.....your going to stay on the cell until you provide serious explanation...''
Hebu niambie hapo kuna kosa ngani mwingereza?
 
Mimi sina ujinga huo wakujisifia kujua kiingereza of course mimi nimeishi ulaya muda mrefu sana tu na hiyo lugha naijua lakini siwezi kusema kwamba kiingereza ndiyo kigezo cha kuwa na elimu au kuelimika bali ni lugha kama kimakonde tu ila wewe umeaminishwa kuwa ukijua kiingereza basi umeelimika which is not the case! Mimi hata kiswahili kinanipa shida kujieleza mbele ya kadamnasi mkuu.
Eti umeishi Ulaya na unajuwa Kiingrreza. Basi kumfanyia tuition dada yako Ndalichako
 
Hapa Waziri wa Elimu, Profesa Ndalichako akitoa maagizo ya kukamatwa Mhandisi Mchina.

View attachment 1315270
KWA WASIOSIKIA VIZURI AMESEMA

‘’Advance payment ya hi nanii milioni mia moja hamsini ,your going to stay on the cell until you provide serious explanation on matter ,because now you cannot play with the government like this ,last time I came here equipment like this ,then you take to another site so your going to stay inside until your give instruction for the equipment you have taken to Dodoma to come back here make sure you have sufficient people to work on the site mheshimiwa sasa kawaweke hawa siwezi kuwa ….’’

CURRICULUM VITAE

Early life and education[edit]
She was born on May 21, 1964, in Musoma, Mara Region in Tanzania. She attended University of Dar Es Salaam from 1987–1991, where she graduated with Bachelor of Science with education, majoring in mathematics. During 1993–1997 she went to University of Alberta, Edmonton, Alberta, Canada, where she obtained a PhD in educational psychology, major in educational statistics & measurement and evaluation.[2]

Career[edit]
  • From 2000 to 2005 she was the senior lecturer at the University of Dar Es Salaam teaching educational measurement and evaluation, research methods, and educational statistics, supervising dissertation of the students.[3][2]
  • From 2014 to date she has been the associate professor and deputy head researcher at Agha Khan University Institute for Educational Development, East Africa [2][3]




Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu rudia tena kusikiliza ufanye subtitle maana hapa equipment like this ,then you take to another site so your going to stay inside until your give instruction haya ni maneno yako si ya mama ndalichako
 
Ni ngumu kuelewa hasa ukikaa upande hasi, lengo kubwa la lugha ni mawasiliano. Na ametimiza ilo
Endeleeni kutetea ujinga maana kama Profesa mwenye PhD anaongea broken hivyo sijui waalimu wake wataongeaje
 
Nenda zako mburula na wewe na Ndalichako wako. Nini kinakuleta pages za Great thinkers? Nenda kwenye udaku kule
hahahaha GT akili ndogo ivo, ukiulizwa utakuta umesoma zayuni, utalii mambo haya.
 
Hahaha Kiingereza kitu gani, mwacheni bibi amalizie muda wake mwezi wa 11, 2020 siyo mbali
 
Eti umeishi Ulaya na unajuwa Kiingrreza. Basi kumfanyia tuition dada yako Ndalichako
Wewe stress zinakusumbua mwenzako ni Prof. pia ni Waziri ana benefit kibao hata mchina amemuelewa na akaende ndani. Who are you by the way https://jamii.app/JFUserGuide assssss!! Haya ni sahihishe na mimi Mwingereza wa Tandale Maji Machafu!
 
Kingereza kina tabia moja mbaya sana, ukiongea kwa kupanick wakati sio lugha yako kinakuchapa
 
Back
Top Bottom