Wewe ni miongoni mwa watu wa ajabu, mtu anakusahihisha kutokana na makosa yako badala ya kushukuru unajifanya jeuri maskini!!🤣, sasa unyosha kosa langu hapo katika masahihisho yangu na kama nitakuwa nimekosea nitakushukuru kwa kunifundisha.
Wewe umeandika broken English, eti; " but I am always facing the same problem"--- neno "always" ni neno linaloendana na kitendo cha "simple present tense" sasa utawekaje- I am , ambayo ni "verb to be" ya present continuous tense??.
Mfano, unaweza kusema; I am going to school, yaani ninakwenda shule. (sasa hivi), hiyo ni present continuos tense. . Sasa Ukitaka kutumia neno "always" hiyo sentensi itakuwa; I always go to school. yaani siku zote huwa naenda shule, (huwa naendaga shule 🤣), hiyo ni simple present tense.
Sasa kosa langu liko wapi??, Shida ya waafrika ni hiyo kwamba kukubali kukosolewa mtu anajiona dhalili, kwa mzungu hapo angetoa shukrani kwa kusahihishwa makosa kwasababu wazungu siku zote.ni curious kutaka kujifunza mambo mapya tofauti na waafrika siku zote tupo kupambana sisi kwa sisi ili tusizidiane katika elimu na maendeleo, and that is one of causative of our backwardness.
Watanzani sijui tuna shida gani, tunasumbuka na Kiingereza wakati kwenye lugha yao pamoja na hiyo broken yetu huwa wanatuelewa tu! Ninafanyakazi na Wazungu na ninakivuruga hivyo hivyo lakini tunaelewana na kazi zinaenda! Hata wao wanajua kwamba English is not our language! Maana hata wao ukiwapeleka kwenye Kiswahili wanapoteana!
Ndio maana nilikuambia "a little knowledge is a dangerous thing".
Kuna mtu mmoja aliwahi kuniambia kuna step tatu za kujifunza, akazilinganisha na degree
1. Step ya kwanza ( bachelor): Unahisi unajua kila kitu
2: Step ya pili (Masters): Unahisi haujui kila kitu
3: step ya tatu( PhD): Unahisi haujui kila kitu ila na wenzako hawajui
English sio first language kwao, lakini wengi wao wameishi kwenye mazingira ya kiingereza for more than 6 years. Huyu mama yetu English ni lugha yake ya tatu baada ya Kiswahili na Kiha, kwangu mimi sio ishu sana.
Kwa sisi ambao English tumejifunzia ukubwani ni ngumu kuwa perfect
Si ndio maana mkuu nilikuambia kwamba Lugha mama ni muhimu sana katika mambo ya Academic. Yaani hapo umeniunga mkono. Hao maprof, wamesoma elimu zao kupitia lugha mama zao.
Yaani point yangu ilienda mbele zaidi, achilia mbali kuhusu huyo Ndalichako na kiingereza chake, point ni hii kwamba tutakuzaje vipaji vyetu katika elimu tunazojifunza shuleni na vyuoni??-- ni kupitia lugha mama. Wewe mwenyewe unawakubali hao maprof, kwakuwa walijifunza kwa lugha mama za kwao, je ndalichako alijifunzia kwa kiha au kiswahili??-- hiyo ndiyo shida.
‘’Advance payment ya hi nanii milioni mia moja hamsini ,your going to stay on the cell until you provide serious explanation on matter ,because now you cannot play with the government like this ,last time I came here equipment like this ,then you take to another site so your going to stay inside until your give instruction for the equipment you have taken to Dodoma to come back here make sure you have sufficient people to work on the site mheshimiwa sasa kawaweke hawa siwezi kuwa ….’’
CURRICULUM VITAE
Early life and education[edit]
She was born on May 21, 1964, in Musoma, Mara Region in Tanzania. She attended University of Dar Es Salaam from 1987–1991, where she graduated with Bachelor of Science with education, majoring in mathematics. During 1993–1997 she went to University of Alberta, Edmonton, Alberta, Canada, where she obtained a PhD in educational psychology, major in educational statistics & measurement and evaluation.[2]
Career[edit]
From 2000 to 2005 she was the senior lecturer at the University of Dar Es Salaam teaching educational measurement and evaluation, research methods, and educational statistics, supervising dissertation of the students.[3][2]
From 2014 to date she has been the associate professor and deputy head researcher at Agha Khan University Institute for Educational Development, East Africa [2][3]
KIINGEREZA SI LUGHA YETU __________________ Kumbukumbu zinanirudisha zaidi ya miaka 10 nyuma tukiwa kwenye vimbweta vya Tegeta High school na wanangu Mdax, DVd pamoja na kizazi tukikata topic ya colonialism in Africa. Tayari tumeishakula mihogo yetu ya kukaanga na kachumbari nyingi yenye...
Watanzani sijui tuna shida gani, tunasumbuka na Kiingereza wakati kwenye lugha yao pamoja na hiyo broken yetu huwa wanatuelewa tu! Ninafanyakazi na Wazungu na ninakivuruga hivyo hivyo lakini tunaelewana na kazi zinaenda! Hata wao wanajua kwamba English is not our language! Maana hata wao ukiwapeleka kwenye Kiswahili wanapoteana!
Sema wabongo wanazinguaga wakianza kuongea in American accent wakati kakulia manzese...
Mi nasemaga moja ya sababu Nigerian music and culture ina sell world wide saivi kama kuiwakilisha African culture ni kwamba wale jamaa wana accent yao unique inayowafanya hata wazungu kutamani kuiga kuongea 'nigerian english'
ila wabongo kina diamond,Vanessa mdee,hata late kanumba walikuwa wakipata exposure wanabadilisha accent wanakua kama wazungu...hence tunakua disinteresting na tunaboa inaonekana kabisa tuna'fake
Wewe, kuna viingereza vya aina mbalimbali, unapokuwa unajifunza kiingereza ni lazima uchague, London English -- kuna za English za Wales, Scotish nk. Na zingine ni kutoka Jamaica, Guyana, USA, canada nk, pote huko kuna vingreza vyao, mfano kiswahili Kipo cha Tz, Rwanda, Congo Zanzibar/pemba, lamu, Mombasa, Somalia, Burundi nk-- sasa inategemea unajifunza kiswahili cha wapi na the same applies to English.
Wakuu Kiingereza na Uprofessor vina uhusiano gani?
Professor wa Mathematics na Fluent English kuna uhusiano gani?
Almost my whole university life nimefundishwa na Ma Prof. Wengi ambao ni wa mambo ya sayansi.. wote wanaongea kiingereza cha kawaida tu.
Kama alisoma kuanzia form one mpaka PHD kwa kutumia Kiingereza na akawa lecturer akifundisha kwa kutumia Kiingereza na Kiingereza chake mpaka leo ni cha 'kizushi' basi kuna tatizo kubwa sana either kwake binafsi au kwa mfumo mzima wa elimu.
Wewe, kuna viingereza vya aina mbalimbali, unapokuwa unajifunza kiingereza ni lazima uchague, London English -- kuna za English za Wales, Scotish nk. Na zingine ni kutoka Jamaica, Guyana, USA, canada nk, pote huko kuna vingreza vyao, mfano kiswahili Kipo cha Tz, Rwanda, Congo Zanzibar/pemba, lamu, Mombasa, Somalia, Burundi nk-- sasa inategemea unajifunza kiswahili cha wapi na the same applies to English.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.