JOYCE PAUL
JF-Expert Member
- Jan 8, 2010
- 1,005
- 82
is this for real?au photoshoping mana cna mbavu apa!ahhahahaa our prezidaa is soooo funny!
kweli laakini nae anajipa rahaa kiaina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
is this for real?au photoshoping mana cna mbavu apa!ahhahahaa our prezidaa is soooo funny!
we mchaga tembelea kigamboni si lazima uende huko ughaibuni, utaendaje wakati hata passport hauna? na aliitwi dude na ushamba wako nami nauwacha hivyohivyo!!!!!!!!!!1
Nilishituka sana baada ya kuona neno DUDE maana kikwetu ni sehemu ya siri ya uzazi ya mwanaume!!Mkuu angalia sana matumizi yako ya lugha ya kiswahili!!!
kaka nilipanda moja linalofanana na hilo pale Ceder Point, NIlisikia kama moyo unaachana na mwili, ni hatari sana haya madude ila watoto wa kizungu wanakaa kwenye foleni mua mrefu kusubiri zamu yao wapande
Kaazi kwaelikweliNilishituka sana baada ya kuona neno DUDE maana kikwetu ni sehemu ya siri ya uzazi ya mwanaume!!Mkuu angalia sana matumizi yako ya lugha ya kiswahili!!!
Nilishituka sana baada ya kuona neno DUDE maana kikwetu ni sehemu ya siri ya uzazi ya mwanaume!!Mkuu angalia sana matumizi yako ya lugha ya kiswahili!!!