Hivi hili joto ni Ruangwa tu ndio limetuzidia au Tanzania nzima?

Hivi hili joto ni Ruangwa tu ndio limetuzidia au Tanzania nzima?

Luca Paguro

Member
Joined
Mar 26, 2023
Posts
85
Reaction score
130
Asikuambie mtu Ruangwa kuna joto. Nimefuatilia hali ya hewa maeneo mengi yenye joto Tanzania hii yani Tanga, Dar, Lindi mjini, Mtwara, Dodoma, Singida, Zanzibar, Tabora kwa wiki hii sijaona sehemu yenye joto kushinda Ruangwa (Ruangwa mjini, Lindi Tanzania)
Screenshot_2024-12-13-23-23-51-088_com.miui.weather2.jpg

Jana mchana temperature ilifika 37°C. Leo ilifika 36°C. Yani hapa nawasha feni hadi nachoka. Natoka nje kifua wazi ila wapi. Mbona zamani haikuwa hivi au global warming inapamba moto? Najihisi kuungua kabisa
Screenshot_2024-12-14-15-12-28-139_com.miui.weather2-edit.jpg

Watu wa Njombe, Mbeya, Iringa nk msikanyage huku mtakufa 😂😂
 
Asikuambie mtu Ruangwa kuna joto. Nimefuatilia hali ya hewa maeneo mengi yenye joto Tanzania hii yani Tanga, Dar, Lindi mjini, Mtwara, Dodoma, Singida, Zanzibar, Tabora kwa wiki hii sijaona sehemu yenye joto kushinda Ruangwa (Ruangwa mjini, Lindi Tanzania)
View attachment 3176592
Jana mchana temperature ilifika 37°C. Leo ilifika 36°C. Yani hapa nawasha feni hadi nachoka. Natoka nje kifua wazi ila wapi. Mbona zamani haikuwa hivi au global warming inapamba moto? Najihisi kuungua kabisaView attachment 3176597
Watu wa Njombe, Mbeya, Iringa nk msikanyage huku mtakufa 😂😂
Ukiona hivyo ujue mvua imekaribia.
 
Asikuambie mtu Ruangwa kuna joto. Nimefuatilia hali ya hewa maeneo mengi yenye joto Tanzania hii yani Tanga, Dar, Lindi mjini, Mtwara, Dodoma, Singida, Zanzibar, Tabora kwa wiki hii sijaona sehemu yenye joto kushinda Ruangwa (Ruangwa mjini, Lindi Tanzania)
View attachment 3176592
Jana mchana temperature ilifika 37°C. Leo ilifika 36°C. Yani hapa nawasha feni hadi nachoka. Natoka nje kifua wazi ila wapi. Mbona zamani haikuwa hivi au global warming inapamba moto? Najihisi kuungua kabisaView attachment 3176597
Watu wa Njombe, Mbeya, Iringa nk msikanyage huku mtakufa 😂😂
Apa Nachingwea hali ni iyo iyo
 
Nipo Mtwara huku aisee ni hatari!!! Ndani kama huna AC ni shida, fan hamna kitu!
 
Majaliwa,alisahau kuhamasisha wananchi huko waoteshe miti??
Mtu wa ajabu sana!
Ruangwa miti ipo mingi, sio shida hata. Huku ni tofauti na Dodoma miti ni mingi ila tu joto limezidi ni nature yake kuwa na joto na mabadiliko ya tabia nchi pia yamechangia
 
Back
Top Bottom