Pale hamna ki2.kile chuo hovyo kabisa! Halafu angalia wakimaliza kila m2 ana GPA za kufa m2.Yaani bora Saut,Udom.!
acheni upuuzi na manmeno ya mtaani angalikeni kwa umakini nimesoma cheti udism dip tumaini bach mzumbe nakiri elimu ya mzumbe japo sio nzuri sana ina complecation hasa kwa miaka ya karibuni its the only chuo no 1 can get GPA 5 POINTS ,CHUNGUZENI
Sina hakika kama idadi ya courses ni issue ya kusimama pekeyake katika kuonesha ubora wa degree za Chuo fulani kwa kulinganisha na vingine. Mleta mada azungumzie "credit hours" ambazo ndiyo msingi wa hayo mambo yenu nyie wasomi. Je, ili kupata Bsc pale SUA au BA pale UD, UDOM, SJUT au Makumira on average mwanafunzi anapaswa kucover credit hours ngapi? Tuanzie hapo.
Tuendelee kujadili bila jazba wakuu.
acheni upuuzi na manmeno ya mtaani angalikeni kwa umakini nimesoma cheti udism dip tumaini bach mzumbe nakiri elimu ya mzumbe japo sio nzuri sana ina complecation hasa kwa miaka ya karibuni its the only chuo no 1 can get GPA 5 POINTS ,CHUNGUZENI
kwa credits hours,mzumbe hadi mtu anagraduate,anatakiwa awe nazo 60,yani 10 per each semister nd 2@cours,udsm mtu anatakiwa awe nazo 108 yan 18 @semister nd 3@cours,sua anakua nazo 72, 12@semistr
Naomba kueleweshwa wadau,nilikua naangalia prospectus ya mzumbe,naona hawa jamaa wao hadi mtu anagraduate anakua amesoma course 25 tu,wkt chuo kama sua mtu anaesoma agro-economics hadi anagraduate anakua ana courz zaid ya 40,udsm mtu wa bcom anagraduate na 36,sasa naomba kujuzwa,ivi hzo kozi 25 za mzumbe zimeandaliwa ktk mfumo gan ambao unamfanya mhitimu awe wide ktk fani yake husika.Angalizo,sina lengo la kupambanisha vyuo hapa.
kwa credits hours,mzumbe hadi mtu anagraduate,anatakiwa awe nazo 60,yani 10 per each semister nd 2@cours,udsm mtu anatakiwa awe nazo 108 yan 18 @semister nd 3@cours,sua anakua nazo 72, 12@semistr
Acha kutumia Masaburi wewe mtoto wa Cameron,mimi kama mimi nina kozi 34!!
Nyambavu wewe
acheni upuuzi na manmeno ya mtaani angalikeni kwa umakini nimesoma cheti udism dip tumaini bach mzumbe nakiri elimu ya mzumbe japo sio nzuri sana ina complecation hasa kwa miaka ya karibuni its the only chuo no 1 can get GPA 5 POINTS ,CHUNGUZENI