nikuambie kitu we chalii,usintafutie ban ya nguvu..ni vema uulze kwanza ni program gan zinazozungumziwa hapa na co unaleta u.m.a.l.a.y.a. wako wa huko mzumbe hapa jf.
Wakuu naomba kuwa mkweli,
mzumbe ni chuo changu nimegraduate pale 2008, ila kile chuo kina mapungufu yake kama ifuatavyo,
1. Mzumbe ukiwa na pesa za kutosha hata usipo soma unaweza ondoka gps kali sana, mfano kuna secretary mmoja wa department ya hrm, alikuwa ni bingwa wa kubadilishia wanafunzi max, ukimpa kilo moja anakutengenezea gps ya kufa mtu.
2. Mzumbe mitihani inavuja na nazani ndo chuo pekee hapa bongo ambacho huwa paper inavuja, nikiwa pale ilisha wahi vuja
3. Sababu ya kuoa gps nyingi ni kwamba hata paper huwa kuna walimu wanatoa maswali yatakayo toka kwenye peper na kweli ukiingia unayakuta kama yalivyo.
4. Na mitihani mzumbe huvuja kupitia kwa mademu, mademu pale mzumbe wanapewa sana maswali ya mitihani, ilikuwa ikikalibia kipindi cha paper watu walikuwa wanaanza kuwa kalibu na mademu.
5. Walimu wengi wa mzumbe wana qualification za kuunga uunga sana na kama mtakumbuka mwaka jana au juzi kuna walimu kama watatu walinyang'anywa u doctor wao kisa wamesoma kwenye vyuo visivyo tambulika so wale walimu hata class hufundisha mambo mepesi mepesi tu,
sasa kama unajua kuna baadhi ya programu,kwanini ume-generalize mambo,...!!andika vitu vinavyoeleweka usiwe kama "elton john" bwana...!!
Senetor shida yako kubwa "MASABURI yako yanawasha hayo" mazali prince kafika atakutafuna ili yaache kuhuma.
Harafu ukitaka masters bila kuingia darasani nenda Mzumbe ya Dar, maana utamtuma mtu atakulipia ada, atafanya registration, na utaongea na walimu wa pale utafanyiwa kila kitu mpaka dissertation na hizo dissertation huwa hawasomi wanasign tu. Lakini huo mfumo wa mzumbe ndo unaenea sehemu nyingi za Tanzania except UDSM kidogo bado wana standards when you compare with other tz universities.
wakuu naomba kuwa mkweli,
mzumbe ni chuo changu nimegraduate pale , ila kile chuo kina mapungufu yake kama ifuatavyo,
1. Mzumbe ukiwa na pesa za kutosha hata usipo soma unaweza ondoka gps kali sana, mfano kuna secretary mmoja wa department ya hrm, alikuwa ni bingwa wa kubadilishia wanafunzi max, ukimpa kilo moja anakutengenezea gps ya kufa mtu.
2. Mzumbe mitihani inavuja na nazani ndo chuo pekee hapa bongo ambacho huwa paper inavuja, nikiwa pale ilisha wahi vuja
3. Sababu ya kuoa gps nyingi ni kwamba hata paper huwa kuna walimu wanatoa maswali yatakayo toka kwenye peper na kweli ukiingia unayakuta kama yalivyo.
4. Na mitihani mzumbe huvuja kupitia kwa mademu, mademu pale mzumbe wanapewa sana maswali ya mitihani, ilikuwa ikikalibia kipindi cha paper watu walikuwa wanaanza kuwa kalibu na mademu.
5. Walimu wengi wa mzumbe wana qualification za kuunga uunga sana na kama mtakumbuka mwaka jana au juzi kuna walimu kama watatu walinyang'anywa u doctor wao kisa wamesoma kwenye vyuo visivyo tambulika so wale walimu hata class hufundisha mambo mepesi mepesi tu,
wakuu c jaandika hapa kupondea chuo ila nilicho kiandika ni cha ukweli asilimi 100, kama kuna mtu anabisha basi apinge kwa hoja na c polojo
kwa credits hours,mzumbe hadi mtu anagraduate,anatakiwa awe nazo 60,yani 10 per each semister nd 2@cours,udsm mtu anatakiwa awe nazo 108 yan 18 @semister nd 3@cours,sua anakua nazo 72, 12@semistr
Saut 120 so?kwa credits hours,mzumbe hadi mtu anagraduate,anatakiwa awe nazo 60,yani 10 per each semister nd 2@cours,udsm mtu anatakiwa awe nazo 108 yan 18 @semister nd 3@cours,sua anakua nazo 72, 12@semistr
acheni upuuzi na manmeno ya mtaani angalikeni kwa umakini nimesoma cheti udism dip tumaini bach mzumbe nakiri elimu ya mzumbe japo sio nzuri sana ina complecation hasa kwa miaka ya karibuni its the only chuo no 1 can get GPA 5 POINTS ,CHUNGUZENI
Ukiwa nje nadhani watu wengi watakuwa na msimamo hasi ju saut lakini binafsi si makazini tu ila hata ktk sehemu mbalimbali nimeona product ya saut imekuwa marketable sana,hapa kwetu mkurugenzi anasema angekuwa anaajili yeye anawapenda sana product ya huko,naambiwa wanasoma vitu vingi kuliko vyuo vyote hapa nchini,hivi ni kweli au?mana eti mtu mpaka anamaliza mfano education anakuwa amesoma coz kama 60 hivi.wat about other university
Wakuu naomba kuwa mkweli,
mzumbe ni chuo changu nimegraduate ila kile chuo kina mapungufu yake kama ifuatavyo,
1. Mzumbe ukiwa na pesa za kutosha hata usipo soma unaweza ondoka GPA kali sana, mfano kuna secretary mmoja wa department ya hrm, alikuwa ni bingwa wa kubadilishia wanafunzi max, ukimpa kilo moja anakutengenezea gps ya kufa mtu.
2. Mzumbe mitihani inavuja na nazani ndo chuo pekee hapa bongo ambacho huwa paper inavuja, nikiwa pale ilisha wahi vuja
3. Sababu ya kua GPA KALI nyingi ni kwamba hata paper huwa kuna walimu wanatoa maswali yatakayo toka kwenye peper na kweli ukiingia unayakuta kama yalivyo.
4. Na mitihani mzumbe huvuja kupitia kwa mademu, mademu pale mzumbe wanapewa sana maswali ya mitihani, ilikuwa ikikalibia kipindi cha paper watu walikuwa wanaanza kuwa kalibu na mademu.
5. Walimu wengi wa mzumbe wana qualification za kuunga uunga sana na kama mtakumbuka mwaka jana au juzi kuna walimu kama watatu walinyang'anywa u doctor wao kisa wamesoma kwenye vyuo visivyo tambulika so wale walimu hata class hufundisha mambo mepesi mepesi tu,
wakuu naomba kuwa mkweli,
mzumbe ni chuo changu nimegraduate pale , ila kile chuo kina mapungufu yake kama ifuatavyo,
1. Mzumbe ukiwa na pesa za kutosha hata usipo soma unaweza ondoka GPA kali sana, mfano kuna secretary mmoja wa department ya hrm, alikuwa ni bingwa wa kubadilishia wanafunzi max, ukimpa kilo moja anakutengenezea gps ya kufa mtu.
2. Mzumbe mitihani inavuja na nazani ndo chuo pekee hapa bongo ambacho huwa paper inavuja, nikiwa pale ilisha wahi vuja
3. Sababu ya kua GPA nyingi ni kwamba hata paper huwa kuna walimu wanatoa maswali yatakayo toka kwenye peper na kweli ukiingia unayakuta kama yalivyo.
4. Na mitihani mzumbe huvuja kupitia kwa mademu, mademu pale mzumbe wanapewa sana maswali ya mitihani, ilikuwa ikikalibia kipindi cha paper watu walikuwa wanaanza kuwa kalibu na mademu.
5. Walimu wengi wa mzumbe wana qualification za kuunga uunga sana na kama mtakumbuka mwaka jana au juzi kuna walimu kama watatu walinyang'anywa u doctor wao kisa wamesoma kwenye vyuo visivyo tambulika so wale walimu hata class hufundisha mambo mepesi mepesi tu,
wakuu c jaandika hapa kupondea chuo ila nilicho kiandika ni cha ukweli asilimi 100, kama kuna mtu anabisha basi apinge kwa hoja na c polojo
acheni upuuzi na manmeno ya mtaani angalikeni kwa umakini nimesoma cheti udism dip tumaini bach mzumbe nakiri elimu ya mzumbe japo sio nzuri sana ina complecation hasa kwa miaka ya karibuni its the only chuo no 1 can get GPA 5 POINTS ,CHUNGUZENI
mzumbe kiboko bwana hata kama wana kozi 25 tunawakubali huku maofisini. ukumpa kazi kuifanya hupati tabu. hasa accounts ni wazuri kwa kweli.ndio tunaomba utugawie huo unondo wenu mkuu.