wanazuga wanapendana,bt mim kama kaka m2,nijuavyo hawa watoto wa kike tena hasa wawapo vyuon huwa ni viwembe laana.Sasa wewe wasiwasi wako nini na hakuna mtu anaeweza kupa ushauri wa uhakika kwakuwa hujatueleza kama wanamatatizo yoyte nakuwa mschana kuwa mbele yake kijana inategemea anamhendo vipi na msichana anampenda kiasigani mkaka wako
Na wavulana nao wanakuwa nani, visu?wanazuga wanapendana,bt mim kama kaka m2,nijuavyo hawa watoto wa kike tena hasa wawapo vyuon huwa ni viwembe laana.
Kasoro ipo keshasema kwamba wanazuga(akimaanisha wote wawili) lakini cha ajabu hofu yake ipo kwa msichana tu! Eti kwa kisingizio kuwa wasichana wanakuwa viwembe wakifika chuo na huyo mdogo wake anayezuga hapo tumwiteje?sijaona jambo la kukutia hofu hapo mkuu...tafakari vyema.
Hello wana jf!!nina mdogo wangu wa kiume ambae anatarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu,huyu bwana mdogo ana galfriend wake ambae pia ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja kilichoko mkoan morogoro mwaka wa pili,kiumri huyu dogo anamzidi huyo galfrd wake kama mwaka m1 au miwil hvi,so me nauliza inawezekana kweli kukawa na mapenz kati hawa wawili kwa kulinganisha level zao za elimu,kwamba mdada yupo juu nd dogo ndo kwanza anaanza 1st yr au wanadanganyana 2?
Hello wana jf!!nina mdogo wangu wa kiume ambae anatarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu,huyu bwana mdogo ana galfriend wake ambae pia ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja kilichoko mkoan morogoro mwaka wa pili,kiumri huyu dogo anamzidi huyo galfrd wake kama mwaka m1 au miwil hvi,so me nauliza inawezekana kweli kukawa na mapenz kati hawa wawili kwa kulinganisha level zao za elimu,kwamba mdada yupo juu nd dogo ndo kwanza anaanza 1st yr au wanadanganyana 2?
mkuu usimsemee moyo wake.........
inategemea wao wanaplan gani, mfano mzuri mimi na wangu me nimemzidi kielimu miaka miwili,naingia 3rd yr yeye ndo 1st yr nw nko job yeye ndo anamaliza bt kwa age kanizidi. So kuheshimiana kwao 2 na mipango yao.Hello wana jf!!nina mdogo wangu wa kiume ambae anatarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu,huyu bwana mdogo ana galfriend wake ambae pia ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja kilichoko mkoan morogoro mwaka wa pili,kiumri huyu dogo anamzidi huyo galfrd wake kama mwaka m1 au miwil hvi,so me nauliza inawezekana kweli kukawa na mapenz kati hawa wawili kwa kulinganisha level zao za elimu,kwamba mdada yupo juu nd dogo ndo kwanza anaanza 1st yr au wanadanganyana 2?
Hello wana jf!!nina mdogo wangu wa kiume ambae anatarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu,huyu bwana mdogo ana galfriend wake ambae pia ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja kilichoko mkoan morogoro mwaka wa pili,kiumri huyu dogo anamzidi huyo galfrd wake kama mwaka m1 au miwil hvi,so me nauliza inawezekana kweli kukawa na mapenz kati hawa wawili kwa kulinganisha level zao za elimu,kwamba mdada yupo juu nd dogo ndo kwanza anaanza 1st yr au wanadanganyana 2?