Hivi hili nalo ni la kwel????

Sinai

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
288
Reaction score
47
:sad::sad::sad:Jamani, naomba kupata experience yenu wanajamii! Kuna akina dada kadhaa nimewahi kuwasikia tena wengine ni leo hii kuwa wao wanachanganyikiwa sana na wanaume wanaovaa miwani, hapo wao wakitokewa tu na jamaa mwenye kuvaa miwani, basi moja kwa moja wanawakubalia!!!!!!!!! Je akina dada kunaukweli hapo? Na je mnawapenda wanaovaa miwani ya fasheni tu, au hata ile ya ugonjwa wa macho?

Nawakilisha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:embarrassed::embarrassed::embarrassed:
 
Mimi navaa miwani (ya ugonjwa wa macho) simpendi mwanaume anayevaaa miwani (ya ugonjwa wa macho) kabisa

Labda tusubiri wasiovaa watupe experience zao
 
me sivai miwani na sina formula,bcoz i believe kuvutiwa na mtu ni something that comes naturally.Naeza vutiwa na yeyote.
 
Yaani mapenzi ya miaka hii ni balaa kabisa......sasa hapo anapendwa mtu au miwani?? na ya kivunjika?? Duu hii kali
 
Hivi guts za kujadili mapenzi wakati huu wa msiba mkuu wa taifa mnazitoa wapi wajemeni??? Naomba kuliko kupoteza muda hapa ni bora hata kutiana shime ni jinsi gani tutawasaidia wenzetu waliopatwa na maafa ya mabomu kule Gongo la Mboto.
 
Hivi guts za kujadili mapenzi wakati huu wa msiba mkuu wa taifa mnazitoa wapi wajemeni??? Naomba kuliko kupoteza muda hapa ni bora hata kutiana shime ni jinsi gani tutawasaidia wenzetu waliopatwa na maafa ya mabomu kule Gongo la Mboto.

Na wewe tayari ushapoteza muda kuandika haya uliyoandika.

MAISHA LAZIMA YAENDELEE NO MATTER WHAT
 
Yaani mapenzi ya miaka hii ni balaa kabisa......sasa hapo anapendwa mtu au miwani?? na ya kivunjika?? Duu hii kali

Hahahahahahahahaahahahahaaaaaaaaaaa duh umeniacha hoi
 
Hivi guts za kujadili mapenzi wakati huu wa msiba mkuu wa taifa mnazitoa wapi wajemeni??? Naomba kuliko kupoteza muda hapa ni bora hata kutiana shime ni jinsi gani tutawasaidia wenzetu waliopatwa na maafa ya mabomu kule Gongo la Mboto.
Du jamaa yangu yapo majukwaa mengi mm naona ww uende kwenye Siasa au International au MOD akuanzishie la Rambirambi, majonzi uweke huko yooote Mbagala MV Bukoba
sisi tuache tujimwayemwaye huku kwani kwenye siasa na ushabiki wa nani ajiuzulu, aachie ngazi, hafai uspika kwa ajili ya mabomu hatutaki asilani na hatuwezi.
TUSUBIRIANE MAJUKWAA MENGINE TUTAKAPOINGIA NA KUKUNJA NDITA
 
duuu.... Mbona hii kal kama wanachanganykiwa mbona mm ninavaa miwan lakn cjaona
 
Na wanawake tunaovaa miwani huwa mnachanganyikiwa juu yetu eeh?
 
Labda km ni miwani ya fasheni, binafsi natumia miwani yenye 'progressive lens' na frame isiyokuwa na rim (worth Kesh 45,000 but no girl ever look at me twice.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…