Sinai
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 288
- 47
:sad::sad::sad:Jamani, naomba kupata experience yenu wanajamii! Kuna akina dada kadhaa nimewahi kuwasikia tena wengine ni leo hii kuwa wao wanachanganyikiwa sana na wanaume wanaovaa miwani, hapo wao wakitokewa tu na jamaa mwenye kuvaa miwani, basi moja kwa moja wanawakubalia!!!!!!!!! Je akina dada kunaukweli hapo? Na je mnawapenda wanaovaa miwani ya fasheni tu, au hata ile ya ugonjwa wa macho?
Nawakilisha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:embarrassed::embarrassed::embarrassed:
Nawakilisha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:embarrassed::embarrassed::embarrassed: