Mkuu umenichekesha hivi prof j ni muislam?ama mm ndio sijui?hlf ni sajda gani inayokaa kichwani badala kwenye paji la uso kwa upande wa t.i.d hiyo picha ni zamani nafikiri alikuwa anaswali kipindi cha nyuma.
Kwahiyo unataka kuniambia kuna kipindi T.I.D alipiga ibada mpaka ikatokea hahaaaaa