Hivi hizi source zinazotoa fixed matches ni za kweli? Zipi Source za uhakika? Naomba ushuhuda kuhusu hilo

Hivi hizi source zinazotoa fixed matches ni za kweli? Zipi Source za uhakika? Naomba ushuhuda kuhusu hilo

Kipenseli

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2020
Posts
825
Reaction score
1,074
Habari za kwenu waungwana? In short niwe straight kwenye subject ni kwamba nina shida ya pesa ninayohitaji kwa haraka (kutokana na tatizo ambalo mm niko nalo kwa sasa) lakini pia hua naamini sana kuwa gambling ni moja kati ya chanzo cha kupata fedha kwa haraka..

Sasa nimekutana na hii kitu venye wanasema fixed match ambazo nyingi zinakua kwenye mfumo wa correct score , HT/FT n.k ambazo zinatoa odds kubwa kubwa ambazo ni mtaji kwenye gambling.

Hivyo nahitaji tupeane experience kidogo kuhusiana na hili jambo ukitoa ushuhuda au ushauri kuhusiana na upatikanaji wa hizo source, risk and so on

Kwasababu nimeamua kuchagua hii njia(Gambilng) kama utatuzi wa suala langu, nimeona ni vyema nije humu kupata madini kidogo ili nichanganye na akili zangu

JamiiForums-568314946.jpg
 
"ambazo zinatoa odds kubwa kubwa ambazo ni mtaji kwenye gambling."

Kosa lako lipo hapo juu, ODDS KUBWA SIO MTAJI KAMWE...

MTAJI NI PESA YAKO DOGO JENTA[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hao ni matapeli tu wa mjini,
Wao pia wanabahatisha tu.
Unaweza kukuta Kwa mwezi mzima wamepatia mara moja pekee.
Nilishapigwa 200k Yani aliyeniuzia laki 1 na mkeka laki vyote vinaenda
Duh pole mkuu...wanasema kuwa kuna recovery ticket kama ukipoteza mkeka ulouziwa hii ilikuaje kwako?
 
"ambazo zinatoa odds kubwa kubwa ambazo ni mtaji kwenye gambling."

Kosa lako lipo hapo juu, ODDS KUBWA SIO MTAJI KAMWE...

MTAJI NI PESA YAKO DOGO JENTA[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Okay nimekupata mkuu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Invest for your own risk!
 
Mkuu sio za kweli...
Nakumbuka mimi mwenyew nikiwa na jamaa angu tulilipia account moja ya kenya kama 80k hivi kwa ajili ya kupata correct/fixed match lakini tuliambulia kublockiwa.
Hamna mchongo apo wanataka kukupiga, we mwenyew fikiria juventus waliwahi shushwa madaraja sababu ya kufix match, unadhani kuna timu yoyote ulaya mtu/watu watarisk kuweka gixed resulys?
Betting ni hisia/bahati/ utabiri na mwenendo tu.
Mf: AFCON tangu imeanza haijatoa FT over 2.5
Conc: ni heri hiyo hela unayotaka uwape uifanye mtaji kwa kuweka odds chache zenye high probabilities ya kukupa hela.
 
Back
Top Bottom