Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Jamaa wanaweka hadi video proof
Sasa si ulipie ili uje tupa mrejesho. Hutaki kuelewa eh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa wanaweka hadi video proof
Hao ni matapeli tu wa mjini,
Wao pia wanabahatisha tu.
Unaweza kukuta Kwa mwezi mzima wamepatia mara moja pekee.
Nilishapigwa 200k Yani aliyeniuzia laki 1 na mkeka laki vyote vinaenda
Nimekupata mkuu [emoji120]Mkuu sio za kweli...
Nakumbuka mimi mwenyew nikiwa na jamaa angu tulilipia account moja ya kenya kama 80k hivi kwa ajili ya kupata correct/fixed match lakini tuliambulia kublockiwa.
Hamna mchongo apo wanataka kukupiga, we mwenyew fikiria juventus waliwahi shushwa madaraja sababu ya kufix match, unadhani kuna timu yoyote ulaya mtu/watu watarisk kuweka gixed resulys?
Betting ni hisia/bahati/ utabiri na mwenendo tu.
Mf: AFCON tangu imeanza haijatoa FT over 2.5
Conc: ni heri hiyo hela unayotaka uwape uifanye mtaji kwa kuweka odds chache zenye high probabilities ya kukupa hela.
Alaf tazama muda wa hayo magoli yalivyopatikana....sometimes ina make sense View attachment 2078279Sasa si ulipie ili uje tupa mrejesho. Hutaki kuelewa eh
Mkuu kama ni kujoin hebu wajaribu hawa naona subscribers ni wengi! Hawa sio correct scores bali ni rollover ya mwezi mzima. Ninashawishika sana kuwa join ila mtaji sinaHabari za kwenu waungwana? In short niwe straight kwenye subject ni kwamba nina shida ya pesa ninayohitaji kwa haraka (kutokana na tatizo ambalo mm niko nalo kwa sasa) lakini pia hua naamini sana kuwa gambling ni moja kati ya chanzo cha kupata fedha kwa haraka..
Sasa nimekutana na hii kitu venye wanasema fixed match ambazo nyingi zinakua kwenye mfumo wa correct score , HT/FT n.k ambazo zinatoa odds kubwa kubwa ambazo ni mtaji kwenye gambling.
Hivyo nahitaji tupeane experience kidogo kuhusiana na hili jambo ukitoa ushuhuda au ushauri kuhusiana na upatikanaji wa hizo source, risk and so on
Kwasababu nimeamua kuchagua hii njia(Gambilng) kama utatuzi wa suala langu, nimeona ni vyema nije humu kupata madini kidogo ili nichanganye na akili zangu
View attachment 2076988
Mimi nilichelewa kuicheza maana niliscreenshot saa 8 game ilianza saa saba
Hapo sijaelewaView attachment 2078295
Wajaribu hawa mkuu ikiwa fresh ntakopa hata saccos nijiunge[emoji28]
Hio ni channel ya Telegram mkuu, wana offer hicho ulichoulizia kwa subscription. Ukilipia unapata mikeka daily kwa mwezi mzima na kila siku ni mkeka mmoja uliochambuliwa vyema.Hapo sijaelewa
Weka link..Hio ni channel ya Telegram mkuu, wana offer hicho ulichoulizia kwa subscription. Ukilipia unapata mikeka daily kwa mwezi mzima na kila siku ni mkeka mmoja uliochambuliwa vyema.
Ikiwa mfuatano wa kila siku ndio inaitwa Rollover... Ila wao option zao wanabadilisha sio kila siku ni correct score. Kila mkeka umebetiwa kwa aina tofauti.
Hakuna fixed match utapigwaHabari za kwenu waungwana? In short niwe straight kwenye subject ni kwamba nina shida ya pesa ninayohitaji kwa haraka (kutokana na tatizo ambalo mm niko nalo kwa sasa) lakini pia hua naamini sana kuwa gambling ni moja kati ya chanzo cha kupata fedha kwa haraka..
Sasa nimekutana na hii kitu venye wanasema fixed match ambazo nyingi zinakua kwenye mfumo wa correct score , HT/FT n.k ambazo zinatoa odds kubwa kubwa ambazo ni mtaji kwenye gambling.
Hivyo nahitaji tupeane experience kidogo kuhusiana na hili jambo ukitoa ushuhuda au ushauri kuhusiana na upatikanaji wa hizo source, risk and so on
Kwasababu nimeamua kuchagua hii njia(Gambilng) kama utatuzi wa suala langu, nimeona ni vyema nije humu kupata madini kidogo ili nichanganye na akili zangu
View attachment 2076988
LinkHio ni channel ya Telegram mkuu, wana offer hicho ulichoulizia kwa subscription. Ukilipia unapata mikeka daily kwa mwezi mzima na kila siku ni mkeka mmoja uliochambuliwa vyema.
Ikiwa mfuatano wa kila siku ndio inaitwa Rollover... Ila wao option zao wanabadilisha sio kila siku ni correct score. Kila mkeka umebetiwa kwa aina tofauti.
Ishi nayo humu mkuu!Link